Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini Dr Slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu Victor Kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa Mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya Slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini Dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naibu katibu mkuu kijana aliyeaga kwao Zitto kabwe au naye ana nini?
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya Slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini Dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naibu katibu mkuu kijana aliyeaga kwao Zitto kabwe au naye ana nini?