CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Binafsi nachukizwa na hali inayoendelea Tanzania ya machafuko yanayotokana na maandamano na vurugu za kisiasa(CHADEMA)
Nikitolea mfano wa mauaji yaliyotokea jana Iringa kwa kumpoteza mwandishi wa habari.......kwa upeo wangu mdogo naona kwamba hili lingezuilika ikiwa kama wananchi na wafuasi wa CHADEMA wangetii amri ya police hili lisingetokea.
Nadhani JK alitangaza zoezi la sensa kuendelea mpaka tar08 mwezi huu,sasa ilikuaje mpaka CHADEMA wakakaidi amri hii?
Kwa hili mie napendekeza hiki chama(CHADEMA)kifutwe na wanasiasa wake wanaonyesha kutokuwa na uzalendo wafungiwe kujihusisha na siasa milele.
Huo ni mtazamo wangu tuu masela msijenge chuki.
Nikitolea mfano wa mauaji yaliyotokea jana Iringa kwa kumpoteza mwandishi wa habari.......kwa upeo wangu mdogo naona kwamba hili lingezuilika ikiwa kama wananchi na wafuasi wa CHADEMA wangetii amri ya police hili lisingetokea.
Nadhani JK alitangaza zoezi la sensa kuendelea mpaka tar08 mwezi huu,sasa ilikuaje mpaka CHADEMA wakakaidi amri hii?
Kwa hili mie napendekeza hiki chama(CHADEMA)kifutwe na wanasiasa wake wanaonyesha kutokuwa na uzalendo wafungiwe kujihusisha na siasa milele.
Huo ni mtazamo wangu tuu masela msijenge chuki.