Kwanini binadamu ni wagumu sana kuchangia mambo ya kidini??

Mujumba

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
853
306
Mchungaji alikuwa anafanya harambee ya ujenzi wa kanisa,waumini wakatoa jumla ya 75,000/=.wakaja watekaji wakateka kanisa na wakachukua fedha zote waumini walizokua nazo na wakapata jumla ya 8milion na wakampa mchungaji afanyie ujenzi huo,sasa cha kujiuliza kwanini hawa watu walibaki na pesa zote hizo mfukoni(It is based on true story)
 
DUH,haya kweli yanatokea kwenye michango ya dini
tatizo nahisi ni hali duni ya maisha,pia watu kutokujua vema somo na maana ya utoaji,na hatubalikiwi kwa kua hatutoi.
 
Jee watu wakitoa kila kitu kanisani watakula kwa mchungaji jamani? Zilizobaki mifukoni ni kwa ajili ya matumizi mengine mengi muhimu kama kusomeshea, kula, kupata moja baridi, nk
 
Jee watu wakitoa kila kitu kanisani watakula kwa mchungaji jamani? Zilizobaki mifukoni ni kwa ajili ya matumizi mengine mengi mhuhimu kama kusomeshea, kula, kupata moja baridi, nk[/QUOT
haaaaaaaaahaaaa kaka umenifurahisha sana
 
Nakumbuka baada ya kuvamiwa na majambazi waliyusachi na kutukuta na shilingi laki 2. Hicho kiasi milioni 8 u ekizidisha sana
 
Ya Mungu mpe Mungu, Ya Kaisari mpe Kaisari,,, Mungu nimempa roho yangu tayari. Kaisari (maisha) ili kukabiliana naye nahitaji pesa, kujitibu, elimu, kula, kuvaa n.k
 
Dini..!! ni biashara bandugu!! there is a big money in God`s business now days.. mimi kama muafrika sina dini
 
Back
Top Bottom