- Thread starter
- #461
Hilo la kutaka kiki silifahamu. Tubaki kwenye hili la mabango.Yangekuwa yanachanwa mabango yasiyo na heshima huu utetezi wako ungekuwa na nguvu, lakini mabango yanayochanwa ni yale yanasema ukweli mchungu. Hata mabango yanayokuwepo sasa, sio yale yenye ukweli mchungu, bali ni yale ambayo rais atayajibu ili kusaka kiki. Na yote hiyo ni Hadaa kuwa rais ni msikivu jambo ambalo sio kweli.