Poleni kwa majukumu ya kila siku kuna jamaangu anafanya kazi mbali na nyumbani, ana mke na watoto wawili sasa yeye anafanya kazi sehemu anapewa hela ya kujikimu so mshahara unatumbukizwa kwenye account direct ambako yeye hana access na ile acc kwani yupo nji nyingine so mke ndo mwenye access.
Jamaa amekuwa akimuuliza mke wake matumizi ya hela mke anakuwa mbogo baadae mke kamwambia jamaa kuwa hela yote kadraw na akiulizwa kafanyia nini hasemi baadae jamaa kamua kuchukua mshiko palepale kazini mke anaanza kulalamika watoto wanateseka sasa jamaa kamua kumtimua mama na watoto wanakaa kwa mamake je kwanini sometimes wanawakewanakuwa hivi na je jamaa alichofanya ni sawa????
Jamaa amekuwa akimuuliza mke wake matumizi ya hela mke anakuwa mbogo baadae mke kamwambia jamaa kuwa hela yote kadraw na akiulizwa kafanyia nini hasemi baadae jamaa kamua kuchukua mshiko palepale kazini mke anaanza kulalamika watoto wanateseka sasa jamaa kamua kumtimua mama na watoto wanakaa kwa mamake je kwanini sometimes wanawakewanakuwa hivi na je jamaa alichofanya ni sawa????