Kwani akishinda 2025 ndio uthibitisho kuwa anakubalika? Mmesahau Jakaya alivyopigika 2010 akabaki kusingizia udini

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Kushinda uchaguzi sio kigezo kuwa unakubalika.

Kiongozi madhubuti hukubalika kwa kulinda rasilimali za taifa lake, kutetea raia wasionewe hovyo na kudhibiti dhulma.Pia Kudhibiti ufisadi.

Kura huwa zinaibiwa na kuchakachuliwa kila kukicha.

Je, uchaguzi wa 2010? Mmesahau aliyeshinda alikiri kushinda kimazabe. Mbaya zaidi akabaki kuusingizia waraka wa katoliki.

Mnatakiwa kukubali kuwa hakubaliki
 
Kwa kura halali ccm inaangushwa hata na chama cha mzee wa ubwabwa.
Ndo ivo ila mkiungana nguvu itakua kubwa mno, na wafata mkumbo wengi watakuja upinzani, wapenda madaraka watakuja upinzani, watetea mali na maslahi yao watakuja upinzani.
 
Kwa kura halali ccm inaangushwa hata na chama cha mzee wa ubwabwa.
Hapa ndipo huwa mnajidanganya. CCM ina wafuasi kila kona ya nchi hasa vijijini ambapo wananchi hawajui lolote zaidi ya kusikiliza propaganda za CCM nchi akipewa mpinzani amani itapotea.

CCM haikubaliki mijini ambapo uelewa wa wakazi wake upo juu.

Bado upinzani hauna mtandao mpana kama CCM. Wakiweka mikakati kabambe na kuwatoa vibaraka wa CCM ndani ya vyama vyao wanaowahujumu wanaweza kushinda kiti cha Urais.
 
Ndo ivo ila mkiungana nguvu itakua kubwa mno, na wafata mkumbo wengi watakuja upinzani, wapenda madaraka watakuja upinzani, watetea mali na maslahi yao watakuja upinzani.
Ukiungana na ma CHAWA huwezi kutoboa. Majority ya hivyo vyama vinamilikiwa na ccm na vinafanya kazi ya ccm
 
Kushinda uchaguzi sio kigezo kuwa unakubalika.

Kiongozi madhubuti hukubalika kwa kulinda rasilimali za taifa lake, kutetea raia wasionewe hovyo na kudhibiti dhulma.Pia Kudhibiti ufisadi.

Kura huwa zinaibiwa na kuchakachuliwa kila kukicha.

Je, uchaguzi wa 2010? Mmesahau aliyeshinda alikiri kushinda kimazabe. Mbaya zaidi akabaki kuusingizia waraka wa katoliki.

Mnatakiwa kukubali kuwa hakubaliki
Umeanza kukubali yaishe?
 
Hapa ndipo huwa mnajidanganya. CCM ina wafuasi kila kona ya nchi hasa vijijini ambapo wananchi hawajui lolote zaidi ya kusikiliza propaganda za CCM nchi akipewa mpinzani amani itapotea.

CCM haikubaliki mijini ambapo uelewa wa wakazi wake upo juu.

Bado upinzani hauna mtandao mpana kama CCM. Wakiweka mikakati kabambe na kuwatoa vibaraka wa CCM ndani ya vyama vyao wanaowahujumu wanaweza kushinda kiti cha Urais.
Hoja mfu
 
Back
Top Bottom