Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.