Kwako ni dhambi ila kwangu sio dhambi

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Haya
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Endelea kuwala tigo watoto wa watu alafu useme tusikuingilie...!!
 
Haha walokole kindani ndaki wanisamehe pia
Siwezi acha kunywa four cousin
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Ndiyooooo kubwa!
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Sawa TUSIPANGIANE MAISHA,. Vipi ile ruksa ya Papa kwako ni dhambi au siyo dhambi?
 
Sheria za nchi zina mwisho
Kuna moto kule, huogopi??
Mkuu ukishakuwa mtu mzima kuna mambo huwezi kupangiwa.

Kwenye hili Bandiko nimevaa uhusika tu, ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom