msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
Mhe. natanguliza salam zangu kwako. Kwa muda mrefu umeweka historia nzuri ya uwajibikaji kama mpinzani wa ukweli. Japo msimamo wako haueleweki sana hadi watu wanahisi kuwa wewe ni mbomoaji wa upinzani badala ya kujenga.
Na hata umekuwa mtu wa kung'ata na kupuliza na ukawa vuguvugu! Kuna hili swala la posho za wabunge, ambapo kimsingi zinaonekana kuwa ni mzigo kwa Watanzania na imeshauriwa na baadhi ya wabungu zifutwe ili kiasi hicho cha bil 900 kielekezwe kwenye huduma za jamii.
Ukiwa miongoni mwa watumishi wanaonufaika na hizo posho wakati una mshahari mkubwa wakutosha kukidhi mahitaji hujasikika kwa lolote haza kufutwa kwa hizo posho! Inadhihirisha wazi kuwa nawe huna msaada sana kwa wananchi kwani una mind hiyo miposho.
Tafadhali hebu toa msimamo wako tujue kuwa huna undumilakuwili. Samahani kama huu ujumbe utakukera, ni kwamba bado ninakutambua na ningependa kutambua uwepo wako bungeni Hh. Kwa mwana jf yeyote nawe unaruhusiwa kuchangia hii mada.
Asanteni
Na hata umekuwa mtu wa kung'ata na kupuliza na ukawa vuguvugu! Kuna hili swala la posho za wabunge, ambapo kimsingi zinaonekana kuwa ni mzigo kwa Watanzania na imeshauriwa na baadhi ya wabungu zifutwe ili kiasi hicho cha bil 900 kielekezwe kwenye huduma za jamii.
Ukiwa miongoni mwa watumishi wanaonufaika na hizo posho wakati una mshahari mkubwa wakutosha kukidhi mahitaji hujasikika kwa lolote haza kufutwa kwa hizo posho! Inadhihirisha wazi kuwa nawe huna msaada sana kwa wananchi kwani una mind hiyo miposho.
Tafadhali hebu toa msimamo wako tujue kuwa huna undumilakuwili. Samahani kama huu ujumbe utakukera, ni kwamba bado ninakutambua na ningependa kutambua uwepo wako bungeni Hh. Kwa mwana jf yeyote nawe unaruhusiwa kuchangia hii mada.
Asanteni