Amesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeye ndio anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.
Kama ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.