Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Tumesikia matamko huko Mwanza, Dar na kwingineko Viongozi wa Machinga na bodaboda kadhaa wakitoa tamko kuwa wao habari za maandamano hawazitaki na kuwa wanaunga mkono serikali na "juhudi" zake katika ustawi wao.
Well kupanga ni kuchagua, wameamua kuwa kwa sasa wako vizuri na utendaji wa serikali, halmashauri, polisi na migambo yake. Kwa maana hiyo wameula na hawana shida Tena na utetezi waliokuwa wanaupata wa bure ambao umesababisha wameheshimika.
Kama ni wote, maana hawajatokea wengine kukanusha basi hatuna sababu kuwapigia kelele wanapo lialia.
Bai Bai wamachinga na Bodaboda mtakula mlikopeleka mboga.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Well kupanga ni kuchagua, wameamua kuwa kwa sasa wako vizuri na utendaji wa serikali, halmashauri, polisi na migambo yake. Kwa maana hiyo wameula na hawana shida Tena na utetezi waliokuwa wanaupata wa bure ambao umesababisha wameheshimika.
Kama ni wote, maana hawajatokea wengine kukanusha basi hatuna sababu kuwapigia kelele wanapo lialia.
Bai Bai wamachinga na Bodaboda mtakula mlikopeleka mboga.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app