dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Sasa naamini kuwa mafisadi wana nguvu.
Kwa sarakasi tunazopigwa na serikari ya JK na viongozi wa chini yake ni waongo sasa naamini kuwa kuanzia ugonjwa wa Dr. Balali hadi kifo ni senema wanazocheza mbele ya Wadanganyika.
Kwa mfano JK,Pinda,Makinda,Manumba nk wore ni sarakasi hakuna anayesema ukweli wote ni vigeugeu na tusahau hata siku moja kuwa watajiuzuru Kama wananchi ni njia gani tuitumie ili kuwawajibisha?
Kwa sarakasi tunazopigwa na serikari ya JK na viongozi wa chini yake ni waongo sasa naamini kuwa kuanzia ugonjwa wa Dr. Balali hadi kifo ni senema wanazocheza mbele ya Wadanganyika.
Kwa mfano JK,Pinda,Makinda,Manumba nk wore ni sarakasi hakuna anayesema ukweli wote ni vigeugeu na tusahau hata siku moja kuwa watajiuzuru Kama wananchi ni njia gani tuitumie ili kuwawajibisha?