Wakuu nlikua nafanya kazi mkoa fulani na sasa nmepata kazi hapa Arusha. Na kwa bahati nzuri nmenunua kijibanda hapa, hivyo nadhani patakua makazi yangu ya kudumu. Dhumuni langu ni kujiunga na chama cha kufa na kuzikana, Plz mwenye kujua anijuze wapi nawezajiunga.