Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,505
Kwahiyo sisi wanywa lubisi hutuungi mkono sio?Muhimu pombe ,isiwe tu y a kienyeji
Kwahiyo sisi wanywa lubisi hutuungi mkono sio?Muhimu pombe ,isiwe tu y a kienyeji
Jameson bila tangawizi sinywi.. hizo nyingine nakunywa na barafu na maji. Tutafutane mnywaji mwenzanguAise nikutafute weekend ijayo nini hizo ulizotaja Hahahaha ongeza Jameson daah
Mkuu nimefuta kauli,lubisi pombe ya nyumbani nainywaKwahiyo sisi wanywa lubisi hutuungi mkono sio?
Nafuta kauli Mkuu nisameheMwafrika haachi asili mkuu...
Hayo ndo maneno karibu tumalizie weekend kwa lubisiMkuu nimefuta kauli,lubisi pombe ya nyumbani nainywa Nafuta kauli Mkuu nisamehe
Mimi pombe iko ktk ratiba ya kila siku,na bajeti yake ipoNawashangaa wanaochagua pombe...sijui wameanza ukubwani??
Ahsante Mkuu, nipe ramani ulipoHayo ndo maneno karibu tumalizie weekend kwa lubisi
Jameson+coca bariiiiidi+ice qubes=Goodlyf.Jameson bila tangawizi sinywi.. hizo nyingine nakunywa na barafu na maji. Tutafutane mnywaji mwenzangu
Niko hapa Nyakanazi, nasubiri kukuche niendelee na safari!Ahsante Mkuu, nipe ramani ulipo
Wale wanaolaani pombe wakionaMimi pombe iko ktk ratiba ya kila siku,na bajeti yake ipo
Hiv mnaokunywa balimi na burudanBarimi ndogo
"Mbandandu" niliyoiandika hapa ni kilevi tunachotumia huku kwetu, kama kuna definition nyingine ya mbandandu unayoijua wewe basi haihusiki na nilichokiandika hapa.Unaelewa maana ya Mbandandu au umesikia hilo neno ukaamua kulitumia?