Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Nimeshuhudia ndoa nyingi zinavunja kwa 7 ya cm ..wanawake kwa wanaume wote wanaumizwa na mapenzi kwa 7 ya cm kama unapenda mke wako au mume wako kwa nini ufutilie mpaka kwenye cm ,sms kwa wanaume hata Biblia imetuambia tuishi na wanawake kwa makini sioni haja kufutiliana hadi kwenye mitandao kama mnapendana kila mmoja amwamini mwenzako hata cm ya mpenzi ikiita ukiwepo huna haja ya kufutia au sms imeingia unaisoma utaumizwa kila siku !