MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 241
- 546
Jamani.
Sidhani kama kuna mwanaume wa jf anayejua kutongoza.
Sisemi kwa ubaya ,ila wanaume wa jf wengi kuandika andika vicaption vya falsafa nyingi kama wanasomea phd ila vitendo asilimia kubwa ni sifuri.
Kwa Yoyote atakayeweza kunitongoza namkaribisha PM.
Nitakuja na mrejesho wapenzi.
Uwe na swaga.
Usiku mwema
View attachment 2786733
MREJESHO.
Hadi muda huu wapenzi wangu wa jf nimeweza kupokea PM kama 50+ kweli nimeendelea kulithibitisha nilisemalo.
Micheke mie
Jf man man swaga za kizamani kweli.
Ebu nione itakavyoishia.
Sidhani kama kuna mwanaume wa jf anayejua kutongoza.
Sisemi kwa ubaya ,ila wanaume wa jf wengi kuandika andika vicaption vya falsafa nyingi kama wanasomea phd ila vitendo asilimia kubwa ni sifuri.
Kwa Yoyote atakayeweza kunitongoza namkaribisha PM.
Nitakuja na mrejesho wapenzi.
Uwe na swaga.
Usiku mwema
View attachment 2786733
MREJESHO.
Hadi muda huu wapenzi wangu wa jf nimeweza kupokea PM kama 50+ kweli nimeendelea kulithibitisha nilisemalo.
Micheke mie
Jf man man swaga za kizamani kweli.
Ebu nione itakavyoishia.