mmmmhhhhh hiyo mishikaki lazima iwe ya salanda..
mmmmhhhhh hiyo mishikaki lazima iwe ya salanda..
Umenikumbusha Salanda mkuu. Hapo ndo kilikuwa kituo kikuu cha kupatia msosi tukisafiri kwa gari Moshi toka DAR kwenda MZA. Tulikuwa tunakula kuku wakubwa hao sijawahi kuona. Ni siku nyingi sijapita hiyo nia tena. Miss you Salanda