Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
sawa,Jf ina uzuri wake, lakini katika swala la marafiki bado FB tunaihitaji. Inatunganisha na watu wengi, wengine unakuta tulipotezana long time.JF yanitosha
sawa,Jf ina uzuri wake, lakini katika swala la marafiki bado FB tunaihitaji. Inatunganisha na watu wengi, wengine unakuta tulipotezana long time.JF yanitosha
<br />weeee! Huwa wanalipwa pesa za ukweli, hackerz wa facebook wengi wao wameajiriwa na 'my space'. Kuna jamaa mmoja ali'hack facebook ikashindwa kufanya kazi kwa muda, sasa hivi huyo jamaa ameajiriwa na facebook na anakula pesa nzuri tu.
niliwahi kuisoma hiyo habari na jamaa alikuwa anahojiwa. Akasema mpaka pesa anazolipwa sasa.umejuaje,au alikuambia?
<br />niliwahi kuisoma hiyo habari na jamaa alikuwa anahojiwa. Akasema mpaka pesa anazolipwa sasa.
senetor.. Kilikuwa chanzo cha kuaminika.. Nakumbuka ilikuwa ni YahooNews!uliisoma toka chanzo gan cha habari?
<br />ok , potelea mbali mi nikiiona nafungua nione!!!inaweza ikawa changa la macho!