Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Heshima waheshimiwa!!,
Kuna mabingwa flani huwa wanauza maji kwa wananchi, huzunguka na Pick Up zao na matenki ya 1000lt. Nawahitaji
kama wamo humu ama unawajua naomba kontakt zao.
Ni vizuri kama nitapata wale wanaozunguka mitaa ya kigamboni na vitongoji vyake.
namba za simu nitawasiliana nao ama please ni Pm.
Natanguliza shukrani za dhati.
Kuna mabingwa flani huwa wanauza maji kwa wananchi, huzunguka na Pick Up zao na matenki ya 1000lt. Nawahitaji
kama wamo humu ama unawajua naomba kontakt zao.
Ni vizuri kama nitapata wale wanaozunguka mitaa ya kigamboni na vitongoji vyake.
namba za simu nitawasiliana nao ama please ni Pm.
Natanguliza shukrani za dhati.