ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,263
- 8,361
Bi dada upo, ulipotelea wapi mamii?
Mi naona aolewe na wote tu, si wote ako nao hadi leo
Mi naona aolewe na wote tu, si wote ako nao hadi leo
Kwanza kabisa sifagilii watu wanaopanga wenzao mstari!So unfair maana wenyewe unaweza kuta wamefika kumbe wako kwenye majaribio!!Ushauri..pesa zinaisha kwahiyo ukizitumia kama kigezo cha kuolewa baadae mambo yakaenda ndivyo sivyo ndo mwanzo wakutengana kwasababu hutokua na mapenzi ya kweli!Kama unampenda Mmassai yeye ndo anakufaa!Kama ni pesa mtatafuta pamoja!