cesilia
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,233
- 1,243
Mi sio wa mjini nipo huku tambaautwikekapulanyege
Kumbe we ni jiran yangu kabisa 😂😂😂😂😂😂
Mi sio wa mjini nipo huku tambaautwikekapulanyege
Njoo Pm lakini vigezo na masharti kuzingatiwa
Mbona ya siku nyingi sana hiyo!
Mimi nimeiona kwa demu wangu dadek...Atakua anachepuka
Njoo Pm lakini vigezo na masharti kuzingatiwa
Tuelekezeni namna ya kuweka basi
Njoo Pm lakini vigezo na masharti kuzingatiwa
Hahaaa boss kwa vitisho,naomba maelekezo boss nipm tu
Hapa kuna mtu ataliwa tu maana haina jinsi
Juzi kati mke wangu alinihack n akasoma meseji zangu za whatsapp,msaada please