TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wajameni kama ufanisi wa opprass kwa mtumishi ungekuwa 47% ni lazima angejieleza kwa nini hajapata B au A? Kama ni uwazi basi mimi nataka serikali ionye uwazi wa sababu kwa nini imeshindwa kutekeleza miradi ya maendeleo?