Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 35,515
- 57,410
Hivi Israel wanapigana vita na Wapalestina au wanatuliza ghasia za Wapalestina?🤣🤣🤣Jeshi la Israel la kawaida sana.
Kumbuka wspalestina hawana jeshi lkn wanapigana na jeshi la Israel lenye vifaa sophisticated halafu Wana misaada mingi tu toka magharibi lkn wanatolewa makamasi na wspalestina.
Imagine wspalestina wangekua na nchi na jeshi halafu wakapigana Israel isingeonekana kwenye uso wa dunia