Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Mara kadhaa tumesikia kauli za wabunge wa CCM 'wakiwaasa' wanafunzi wa vyuo vikuu wasijihusishe na siasa mavyuoni. Kauli kama hizi pia zimekuwa zikitolewa na viongozi mbalimbali akiwepo Nape, na Spika Makinda.
Kuna swali najiuliza; Why now?
Hivi sio CCM iliyowatumia vijana wa vyuo vikuu kuzungusha form ya urais ya Kikwete mikoani kutafuta wadhamini?
Hivi sio CCM imekuwa ikiwakusanya kwa mamia kwenye mabasi kuwapeleka kwenye kumbi mbalimbali kuwapa kadi?
Ni nini kimebadilika kwenye hiyo "memorandum of understanding" yao, na sasa CCM hawataki kusikia Vijana wa vyuo vikuu wanajihusissha na vyoma vya siasa?
Au CCM wameshindwa kwenda sambamba na Lema, wanaanza kuomba mbio ziishe kabla ya kumaliza round?
Je, kwa msimamo wao wa kuwataka wanavyuo wasijihusishe na siasa, CCM wanataka kusema hawataki tena support yao kama ilivyokuwa kwa wafanyakazi?
Je, kwa msimamo wao CCM wanataka kusema uongozi wa wanafunzi wa CCM na wanachama wao (kama wale waliocheza football match na kina Nape), kwa sasa they are useless?
Najiuliza tu...
Kuna swali najiuliza; Why now?
Hivi sio CCM iliyowatumia vijana wa vyuo vikuu kuzungusha form ya urais ya Kikwete mikoani kutafuta wadhamini?
Hivi sio CCM imekuwa ikiwakusanya kwa mamia kwenye mabasi kuwapeleka kwenye kumbi mbalimbali kuwapa kadi?
Ni nini kimebadilika kwenye hiyo "memorandum of understanding" yao, na sasa CCM hawataki kusikia Vijana wa vyuo vikuu wanajihusissha na vyoma vya siasa?
Au CCM wameshindwa kwenda sambamba na Lema, wanaanza kuomba mbio ziishe kabla ya kumaliza round?
Je, kwa msimamo wao wa kuwataka wanavyuo wasijihusishe na siasa, CCM wanataka kusema hawataki tena support yao kama ilivyokuwa kwa wafanyakazi?
Je, kwa msimamo wao CCM wanataka kusema uongozi wa wanafunzi wa CCM na wanachama wao (kama wale waliocheza football match na kina Nape), kwa sasa they are useless?
Najiuliza tu...