thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 424
Habarini za jioni? Ningependa kufahamu kwa nini Tanzania tunaheshimu sana titles hasa pale tunapohitaji kuteua Viongozi ,mfano Dr,Prof,Brigedia ,Jenerali nk
Je? Kuna uhusiano uliopo kati ya title na uwezo wa kuongoza?mfano Dr kwa title aliyonayo na kisomo tayari anauwezo wa kiuongozi?
Kama tumeamua kuheshimu titles na kuchagua watu wenye titles ,kwanini ? Tunawapeleka watu sehemu ambazo hiyo specialization zao mfano;
Waziri wa afya yeye ni Dr wa sheria
Waziri wa Elimu ni prof wa Kilimo
Sasa inakuaje mtu amesoma mpk akawa professor wa sheria halafu unamchagua kuwa Waziri wa Michezo?
Wajuzi naomba kuelewa.
Je? Kuna uhusiano uliopo kati ya title na uwezo wa kuongoza?mfano Dr kwa title aliyonayo na kisomo tayari anauwezo wa kiuongozi?
Kama tumeamua kuheshimu titles na kuchagua watu wenye titles ,kwanini ? Tunawapeleka watu sehemu ambazo hiyo specialization zao mfano;
Waziri wa afya yeye ni Dr wa sheria
Waziri wa Elimu ni prof wa Kilimo
Sasa inakuaje mtu amesoma mpk akawa professor wa sheria halafu unamchagua kuwa Waziri wa Michezo?
Wajuzi naomba kuelewa.