Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,447
- 11,146
Wanajukwaa natumai nanyi ni mashuhuda timu yetu ya taifa stars haipati mechi nyingi za kirafiki tofauti kabisa na mataifa mengine hata majirani zetu wote wanacheza kwanzia mechi mbili hadi tatu kipindi cha ratiba ya FIFA ya mapumziko ya ligi mbalimbali Duniani.
Taifa hili lina tatizo gani haswaa? Kwa nini sisi Tanzania tupo hivi, seriously kwenye kila sekta tumepoa why?
TFF kazi yao ni ipi bajeti yao kwa kalenda ya FIFA inahusu matumizi ya vitu gani hasa.
Inaudhi na inakera sana Taifa gani hili hovyo kwenye kila kitu.
Wallace Karia anavimbiana tumbo tu.
Karibu kwa maoni
Taifa hili lina tatizo gani haswaa? Kwa nini sisi Tanzania tupo hivi, seriously kwenye kila sekta tumepoa why?
TFF kazi yao ni ipi bajeti yao kwa kalenda ya FIFA inahusu matumizi ya vitu gani hasa.
Inaudhi na inakera sana Taifa gani hili hovyo kwenye kila kitu.
Wallace Karia anavimbiana tumbo tu.
Karibu kwa maoni