Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
1. Kabadilisha mfumo wa CCM
a. Yeye yuko kwenye kundi la CCM JK Family
b. Kamati kuu ya CCM kwa sasa ina wajumbe wawili tu (JK na Mama Salma)
c. Halmashauri ya kuu ya CCM ina wajumbe wafuatao: JK, Mama Salma, Ridhiwani, Miraji, Makamba, Zakia Meghji, Kinana, Lt. Gen. Shimbo, Tambwe Hizza, January Makamba, Mwamvita Makamba, Rostam Aziz, Eddo, Andy Chenge, Mramba na wengineo
d. Mkutano Mkuu wa CCM ni Halmashauri Kuu ukiongezea wengi wa type yao
NB: Huu ndio mfumo wa CCM wenye nguvu na ule ulio kwenye katiba ya CCM ni gelesha tu na utatumika rasmi endapo JK atashinda uchaguzi mkuu wa 2010.
2. Anategemea sana kuomba misaada kutoka nchi tajiri kwa ajili ya kuboresh maisha ya watanzania kitu ambacho ni hatari kwa uhuru wetu
3. Anakumbatia mafisadi
4. Anabariki rushwa
5. Mzushi
6. Si mkweli
7. Mwepesi kusahau na kudanganywa
8. Afuati katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
9. Serikali ya Chama cha CCM JK Family kitakuwa kwa maslahi ya JK family
a. Yeye yuko kwenye kundi la CCM JK Family
b. Kamati kuu ya CCM kwa sasa ina wajumbe wawili tu (JK na Mama Salma)
c. Halmashauri ya kuu ya CCM ina wajumbe wafuatao: JK, Mama Salma, Ridhiwani, Miraji, Makamba, Zakia Meghji, Kinana, Lt. Gen. Shimbo, Tambwe Hizza, January Makamba, Mwamvita Makamba, Rostam Aziz, Eddo, Andy Chenge, Mramba na wengineo
d. Mkutano Mkuu wa CCM ni Halmashauri Kuu ukiongezea wengi wa type yao
NB: Huu ndio mfumo wa CCM wenye nguvu na ule ulio kwenye katiba ya CCM ni gelesha tu na utatumika rasmi endapo JK atashinda uchaguzi mkuu wa 2010.
2. Anategemea sana kuomba misaada kutoka nchi tajiri kwa ajili ya kuboresh maisha ya watanzania kitu ambacho ni hatari kwa uhuru wetu
3. Anakumbatia mafisadi
4. Anabariki rushwa
5. Mzushi
6. Si mkweli
7. Mwepesi kusahau na kudanganywa
8. Afuati katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
9. Serikali ya Chama cha CCM JK Family kitakuwa kwa maslahi ya JK family