Ndugu wanaJF naomba kuuliza swali " kwa nini siku hizi watangazaji wa STAR TV na Redio Free Africa hawalisomi gazeti la TANZANIA DAIMA katika kipindi cha watanzani tuzungumze magezeti cha saa 12:30 asubuhi?" Najua kuna watu hapa watasema kuwa mbona kuna magazeti mengi hayapitiwi asubuhi,ni kweli ila hili ni miongoni mwa magazeti ambayo walikuwa wanapitia vichwa vyake vya habari.Tafadhali mwenye taarifa kamili kuhusu hili naomba atujuze.
:rain:MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA:rain:
:rain:MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA:rain: