Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Ama kweli,leo nimekubali ile kauli mbiu inayosema WEWE UNAMJUA NANI? NA SIO WEWE UNA QUALIFICATION GAN?
Pamoja na bachelor yangu nimeangukia pua kwenye kazi ya muda ya sensa.ILA HAKUNA MBAYA KWANI KINACHONIUMIZA NAAMINI KINANIKOMAZA KIJESHI,nimlilie nani wakati hakuna anayenijali?,HII NDO
SAUTI YA MPWEKE NYIKANI
Pamoja na bachelor yangu nimeangukia pua kwenye kazi ya muda ya sensa.ILA HAKUNA MBAYA KWANI KINACHONIUMIZA NAAMINI KINANIKOMAZA KIJESHI,nimlilie nani wakati hakuna anayenijali?,HII NDO
SAUTI YA MPWEKE NYIKANI