First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
kwa mtazamo wangu hizi ni baadhi sababu zinazomvutia mwanaume/mke apige PUNYETO
1. Kuangalia picha za ngono/uchi.
2. Kupenda kupiga stori za ngono.
3. Kusikiliza love story ambayo husisimua na kuamsha hisia za mapenzi.
4. Uvivu wa kufanya kazi/mazoezi.
5. Umbea, kufuatilia stori za maisha ya watu.
6. Tamaa binafsi za ngono.
7. Uoga wa kutongoza
8. Kuridhika na maisha binafsi aliyonayo mtu/kutokuhitaji maendeleo zaidi.
9. Kukaakaa vijiweni.
10....................................
11. Kutokuridhika na mpenzi ulienae.
12. Kuwa mwoga/kutokueleza wazi kwa mpenzi wako kuwa hujaridhika.
Kwa nini ushindwe kuchukua hatua? wengi huchukulia hili swala kama tatizo, wafanyeje ili waache wakati wengine hawapendi kuyakwepa mazingira hayo?
1. Kuangalia picha za ngono/uchi.
2. Kupenda kupiga stori za ngono.
3. Kusikiliza love story ambayo husisimua na kuamsha hisia za mapenzi.
4. Uvivu wa kufanya kazi/mazoezi.
5. Umbea, kufuatilia stori za maisha ya watu.
6. Tamaa binafsi za ngono.
7. Uoga wa kutongoza
8. Kuridhika na maisha binafsi aliyonayo mtu/kutokuhitaji maendeleo zaidi.
9. Kukaakaa vijiweni.
10....................................
11. Kutokuridhika na mpenzi ulienae.
12. Kuwa mwoga/kutokueleza wazi kwa mpenzi wako kuwa hujaridhika.
Kwa nini ushindwe kuchukua hatua? wengi huchukulia hili swala kama tatizo, wafanyeje ili waache wakati wengine hawapendi kuyakwepa mazingira hayo?