SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,796
Tena anawakoromea Wakatoliki kwenye mimbari ya Wasabato,kalikoroga big timeHoja ni bandari.
Jk yuko kanisani badala amalize mambo ya Dini huko amaongelea siasa tena.
Tena anawakoromea Wakatoliki kwenye mimbari ya Wasabato,kalikoroga big timeHoja ni bandari.
Jk yuko kanisani badala amalize mambo ya Dini huko amaongelea siasa tena.
Kwa Rais Mstaafu @jmkikwete na mnaosema Baraza La Maaskofu wana chuki za kidini. Naombeni mnieleweshe:
Baraza hili la maakofu (TEC) mwaka 2018 lilipotoa waraka wa Pasaka wa kupinga mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na Serikali ya Jiwe walikua na vhuki ya Kidini na 'Mkatoliki' Mwenzao Magufuli?
Mmesahau Askofu Severine Niwemuguzi alinyang’anywa Passport na kuambiwa sio raia kwa sababu ya kupinga uonevu wa
Jiwe, alikua na chuki na Mkatoliki mwenzake?
Wakati wa COVID Baraza La Maaskofu lilipotoa waraka wa kumpinga Magufuli kuwa COVID haipo na kutaka serikali iruhusu watu wapewe chanjo, walikua na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?
Walivyo kemea madudu ya uchaguzi wa 2020 walikuwa na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?
Kama kila wakati kukiwa na mjadala wa kitaifa wanatoa Waraka, na hamkuwai kuona shida, kwanini mnataka sasa wasitoe?
Kwahiyo wakitoa kwa Mkristo mwenzao sio chuki? Wakitoa sasa kwa Muislam ndio wana chuki?
Umenena vyemaKWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU.
Acheni upumbavu! Mtu akitoa hoja isikilizwe hoja yake na sio ni wadini gani
Umenena vyema
Barikiwa sana
Hawajapendekeza maboresho yoyote.Kama hawataki ufanyiwe maboresho unategemea TEC wasemaje?
Hawajapendekeza maboresho yoyote.
Jambo pekee linaloweza kuwaridhisha Maaskofu ni kufutwa kwa mkataba tu...
Kipindi cha mkapa alipotaka kuuza shirika la ndege TEC walimuita na kumuonya mwisho akaacha angekuwa ni wadini nyingine ingezuka hoja ya udini
Umenena vyema kabisa
Inasikitisha sana kukwepa hoja kuweka habari ya udini kwa kuangalia ni dini gani anaongea.
Nchi imekuwa ya hovyo mpaka inatia kichefuchefu
waislamu wachache sana wanatumia akili zaoKwa Rais Mstaafu @jmkikwete na mnaosema Baraza La Maaskofu wana chuki za kidini. Naombeni mnieleweshe:
Baraza hili la maakofu (TEC) mwaka 2018 lilipotoa waraka wa Pasaka wa kupinga mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na Serikali ya Jiwe walikua na vhuki ya Kidini na 'Mkatoliki' Mwenzao Magufuli?
Mmesahau Askofu Severine Niwemuguzi alinyang’anywa Passport na kuambiwa sio raia kwa sababu ya kupinga uonevu wa
Jiwe, alikua na chuki na Mkatoliki mwenzake?
Wakati wa COVID Baraza La Maaskofu lilipotoa waraka wa kumpinga Magufuli kuwa COVID haipo na kutaka serikali iruhusu watu wapewe chanjo, walikua na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?
Walivyo kemea madudu ya uchaguzi wa 2020 walikuwa na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?
Kama kila wakati kukiwa na mjadala wa kitaifa wanatoa Waraka, na hamkuwai kuona shida, kwanini mnataka sasa wasitoe?
Kwahiyo wakitoa kwa Mkristo mwenzao sio chuki? Wakitoa sasa kwa Muislam ndio wana chuki?
Hayawezi kuisha hadi mkataba wa bandari ufutwe au urekebishwe.Ndio haya mambo yaishe sasa viongozi wa dini wabakie kwenye field zao ni hatari wao kuongia kwenye siasa na nyakati zinaonyesha hivyo kwa sasa tunahitaji serikali imara leo kesho na keshokutwa sisi na viongozi wa dini na waumini na waamini yetu ni kwenye sanduku la kura na kutoa maoni yetu tu ila sio kuiendesha serikali kwa rimoti na kupush agenda zenye maslahi na taasisi zetu.
Wasituhamishe kwenye mada, ishu kubwa hapa ni kuupitia upya mkataba.
Sawa post: 47552355 said: