KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Baada Ya Hotuba kwa Wazee wa CCM Mwenyekiti wa Wazee Brigedia Mbita alimwita Kingunge Kuja kuwashukuru Hotuba ya Jk Lakini ghafla Mwenyekiti huyo akasikika akisema Kingunge amekataa na kuendelea na Mambo mengine.
Wadau wanasema huenda aliogopa kwa kuwa Wazee wa Kigoda cha Mwalimu wakiwemo Jaji Warioba, na Mh Salimu walitaka hekima itumike ili kuondoa machafuko nchini!!!
Angalia tukio hilo katika picha hizi!!:juggle:
Wadau wanasema huenda aliogopa kwa kuwa Wazee wa Kigoda cha Mwalimu wakiwemo Jaji Warioba, na Mh Salimu walitaka hekima itumike ili kuondoa machafuko nchini!!!
Angalia tukio hilo katika picha hizi!!:juggle: