Kwa nini KIMEI wa CRDB anataka awe GAVANA wa Benki Kuu? ANAFAA au HAFAI?

we mswahili wewe! usikimbie bwana. Unaweza kunitumia jibu hata kwenye PM basi kama unashindwa kujibu hadharani. Na ule ushahidi wako wa mhe. Zitto nausubiri. tetetete!

Asante.
Nashukuru kwa salamu zako. kabla sijaenda mbali naomba kuuliza zile kandambili ulizopanda nazo helikopta ulinunua wapi?
Habari za Zitto nimeweka kwenye wanene na marupurupu nenda kule kama unanisubiri kwa hamu. PM siwezi kukutumia bora ungeweka kibatari.
 
nimeangalia jibu lako, lakini ni ujanja ujanja tu, sijui ndio uswahili wenyewe huo? Haya nimeshaambiwa kwamba wewe ndivyo ulivyo
 
Hapa ndipo namkumbuka Blaza Ben na kiburi maarifa chake kwani angeibuka na jina la GAVANA nyie nyote hamjawahi kufikiria...

Tanzanianjema
 
Inawezekana JK anamwachia jamaa aendelee na wadhifa huku vyombo husika vikimfuatilia? Huenda akibadilishwa mapema mengine (au watuhumiwa wengine-cf Great Stuff) hayatajulikana haraka?
 
Mwanagenzi,
Gavana alichaguliwa benki May 1998. Muda wake unamalizika mwaka kesho 2008.
 
Hivi pamoja na wizi wote huu uliotokea hapo BOT bado tunamuhitaji amalize muda wake badala ya kumpeleka Keko?
 
Ingawa sijui, lakini sidhani kama ni lazima Gavana amalize miaka kumi hapo BoT labda kama sheria inayounda cheo hicho ilibadilika. Historia haionyeshi kama magavana wanatakiwa kutimiza miaka kumi; angalia tenure za magavana wafuatao:

Ediwn Mtei (1966 - 1974 ==>miaka 8)
Charles Nyirabu (1974 - 1989 ==>miaka 14)
Gilman Rutihinda (1989 - 1993 ==>alifariki)
Idris Rashid (1993 - 1998 ==>miaka 5)
Daud Balali (1998-todate ==>miaka 9)
 
kiukweli wabongo tuache wifu sasa kimei kaotea maisha mwacheni ale hivi hata wewe ungepata zali kama hili lazima utumie nafasi vizur au sio
 
Habari kutoka vyanzo mbalimbali vinasema Charles Kimei halali kusaka ugavana wa benki kuu ikiwa kununua waandishi wa habari ili kila leo aonekane wakati mwingine kwenye shughuli zisizokuwa na kichwa wala miguu atahakikisha anapata coverage ya kutosha.

na amekuwa akiona JK anakwenda mahala atahakikisha kuna watu wake wa CRDB.
safari za U.K za JK za hivi karibuni huyu bwana alipeleka watu wake hakukuwa na sababu ya kuja mara mbili ila ndio jamaa yuko kwenye kampeni.

na tunawasisi na phd yake ni zile kundi la kina David Mathayo, DR.kamala,DR.Warioba wa Mzumbe University, Mary Nagu na augustino Mrema.

:msela::msela:
:msela::msela:mad:Chinga bwana!! :msela::msela:

:msela::msela:


Join Date : 17th November 2006

Posts : 329
Rep Power : 730
Likes Received: 2
Likes Given: 0
 
Ingawa sijui, lakini sidhani kama ni lazima Gavana amalize miaka kumi hapo BoT labda kama sheria inayounda cheo hicho ilibadilika. Historia haionyeshi kama magavana wanatakiwa kutimiza miaka kumi; angalia tenure za magavana wafuatao:

Ediwn Mtei (1966 - 1974 ==>miaka 8)
Charles Nyirabu (1974 - 1989 ==>miaka 14)
Gilman Rutihinda (1989 - 1993 ==>alifariki)
Idris Rashid (1993 - 1998 ==>miaka 5)
Daud Balali (1998-todate ==>miaka 9)

Ni kweli, refer to BOT Act 2006,
 
Back
Top Bottom