Kwa nini kikwete atembelee wizara badala ya kumuagiza waziri kwenye cabinet meeting?

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Wandugu,
Hako ni kaswali ka kizushi tu. Huyu mheshimiwa naona ameanza tena kutembelea wizara na kutoa maagizo kwa waziri mbele ya watendaji wake. Ninachojiuliza ni je, kwani kwenye vikao vya baraza la mawaziri hakuna fursa ya yeye kutoa maagizo kwa waziri husika kiasi cha kumlazimu amfuate wizarani? Au ndiyo ile tabia yake maarufu ya kupenda publicity na kuwapumbaza wananchi aonekane ni mchapa kazi?
 
Hana shughuli ya kufanya, nchi imemshinda anabaki kuzurura tu. Anatoa maagizo hajiamini hata kidogo kwa sababu hata yale anayozungumza hayajui, oooh angalieni msilete richmond nyingine, oooh walipeni wazee, oooh wachakachuaji wanyang'anywe leseni na akitoka hapo keshasahau aliongea nini. Atulie ofisini ajipange upya nchi inakwenda kombo.
 
Mi huwa najiuliza huyu jamaa anafanya kazi saa ngapi?maana kama hajasafiri nje basi yupo wizarani anatalii,hv ikulu si kumejaa mafaili ambayo yeye angepaswa kuyasaini na kuyatolea uamuzi?mmmmmmmmmmmm kweli tumeliwa kama alivyosema yeye ukitaka kula nawe uliwe kidogo
 
Wandugu,
Hako ni kaswali ka kizushi tu. Huyu mheshimiwa naona ameanza tena kutembelea wizara na kutoa maagizo kwa waziri mbele ya watendaji wake. Ninachojiuliza ni je, kwani kwenye vikao vya baraza la mawaziri hakuna fursa ya yeye kutoa maagizo kwa waziri husika kiasi cha kumlazimu amfuate wizarani? Au ndiyo ile tabia yake maarufu ya kupenda publicity na kuwapumbaza wananchi aonekane ni mchapa kazi?

IMG_1725.jpg


Hivi hiki kiti kipo kila wizara anayo tembelea Rais maana kila wizara kipo hata picha za nje unakuta kipo
 
Wandugu,
Hako ni kaswali ka kizushi tu. Huyu mheshimiwa naona ameanza tena kutembelea wizara na kutoa maagizo kwa waziri mbele ya watendaji wake. Ninachojiuliza ni je, kwani kwenye vikao vya baraza la mawaziri hakuna fursa ya yeye kutoa maagizo kwa waziri husika kiasi cha kumlazimu amfuate wizarani? Au ndiyo ile tabia yake maarufu ya kupenda publicity na kuwapumbaza wananchi aonekane ni mchapa kazi?

Kazi huchapwa kwa mikono....na si mdomo
 
Wandugu,
Hako ni kaswali ka kizushi tu. Huyu mheshimiwa naona ameanza tena kutembelea wizara na kutoa maagizo kwa waziri mbele ya watendaji wake. Ninachojiuliza ni je, kwani kwenye vikao vya baraza la mawaziri hakuna fursa ya yeye kutoa maagizo kwa waziri husika kiasi cha kumlazimu amfuate wizarani? Au ndiyo ile tabia yake maarufu ya kupenda publicity na kuwapumbaza wananchi aonekane ni mchapa kazi?

wakati mwengine bila kiongozi kufatilia na kuwatia tumbo joto wahusika wa wizara husika utendaji unakuwa dhoofu.
 
Back
Top Bottom