kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Leo asubuhi nilipigiwa na ndugu yangu yuko mkoa fulani akiniomba niende pale ofisi za psrs nikamsaidie kutatua changamoto flani inayomkabili kwenye account yake.
Nimefika sikukuta foleni kubwa kivile ila nimegundua ni kwa nini simu hazipokelewi.
Cha kwanza simu ni moja tu pale tena ya mezani.
Cha pili anaepokea simu ni mtu mmoja tu na huyo huyo ndiye anakua anasolve issue za watu wanaoenda pale physically so sometimes anapolemewa anaacha kupokea simu makusudi tu.
Pia Simu za malalamiko zinazoingia ni nyingi mno,nimekaa pale karibu nusu saa lakini nimeshuhudia simu karibu 100 zinaingia na jamaa zingine akawa hapokei na wakati mwingine akawa anazima simu makusudi tu.
Nimegundua pia psrs wana uhaba wa wafanyakazi,man power ni ndogo mno sijui ile mitihani ya watu zaidi ya elfu 2 huwa wanawezaje kuisahihisha kwa usahihi ndani ya masaa kadhaa na kutoa majibu.
Pia nimegundua katibu mkuu wa psrs ndiye mzembe Coz kuna issues ndogo ndogo zinazohitaji approval yake ila yeye bado kalala usingizi wa pono.
Ushauri wangu ni kwamba psrs waweke call centre itakayokua inashughulikia hizi kesi ndogo ndogo na sio utaratibu wao wa sasa.
Nimefika sikukuta foleni kubwa kivile ila nimegundua ni kwa nini simu hazipokelewi.
Cha kwanza simu ni moja tu pale tena ya mezani.
Cha pili anaepokea simu ni mtu mmoja tu na huyo huyo ndiye anakua anasolve issue za watu wanaoenda pale physically so sometimes anapolemewa anaacha kupokea simu makusudi tu.
Pia Simu za malalamiko zinazoingia ni nyingi mno,nimekaa pale karibu nusu saa lakini nimeshuhudia simu karibu 100 zinaingia na jamaa zingine akawa hapokei na wakati mwingine akawa anazima simu makusudi tu.
Nimegundua pia psrs wana uhaba wa wafanyakazi,man power ni ndogo mno sijui ile mitihani ya watu zaidi ya elfu 2 huwa wanawezaje kuisahihisha kwa usahihi ndani ya masaa kadhaa na kutoa majibu.
Pia nimegundua katibu mkuu wa psrs ndiye mzembe Coz kuna issues ndogo ndogo zinazohitaji approval yake ila yeye bado kalala usingizi wa pono.
Ushauri wangu ni kwamba psrs waweke call centre itakayokua inashughulikia hizi kesi ndogo ndogo na sio utaratibu wao wa sasa.