GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,027
Kitendo cha kuhakikisha Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini kwa miaka 15 kisha wa Butiama kwa miaka Mitano (5) Hakimu Mkazi wa Zamani na Wakili wa Kujitegemea Marehemu Nimrod Elirehema Mkono unarejeshwa nchini Tanzania na kutoa Ndege ya Kubeba Mwili.
Wanafamilia, Ndugu na Jamaa na Kuagiza Serikali isimamie Shughuli zote za Mazishi yake Kijijini Kigori Busegwe Wilayani Butiama Mkoa wa Mara ni cha Kupongezwa na Kimetufariji vilivyo Wazanaki na GENTAMYCINE kwa Niaba yao nasema ASANTE SANA MHESHIMIWA Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu akubariki zaidi na akufanikishe katika Uongozi wako, Serikali yako na Familia yako.
R.I.P Uncle Nimrod Elirehema Mkono.
Wanafamilia, Ndugu na Jamaa na Kuagiza Serikali isimamie Shughuli zote za Mazishi yake Kijijini Kigori Busegwe Wilayani Butiama Mkoa wa Mara ni cha Kupongezwa na Kimetufariji vilivyo Wazanaki na GENTAMYCINE kwa Niaba yao nasema ASANTE SANA MHESHIMIWA Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu akubariki zaidi na akufanikishe katika Uongozi wako, Serikali yako na Familia yako.
R.I.P Uncle Nimrod Elirehema Mkono.