Nitafika Mbinguni
Member
- May 8, 2020
- 12
- 6
Nina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali?
Kama uko Dar es salaamNina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali ?
Kama upo maeneo ya kanda ya ziwa nenda kisiwa kimoja kinaitwa Goziba kusanya samaki mzigo ukiwa mkubwa nenda kauze samaki na bondo. Hiyo 400,000 nakuhakikishia kwa wiki utapata zaidi ya 100,000 faida.Nina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali ?
Nina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali ?
Mkuu kuna possibility ya kupoteza hela yote km utakuwa haujipanga vizuri ....ushauri wangu hakikisha una back up plan kwa kuanza let's say nusu ya hyo hela uliyonayo huku nyingine unaiweka pembeni just incase.Asante mkuu umenifungua sana ubarikiwe, narudi Chuo kumaliza degree yangu hii but nikirudi nataka nijichanganye mtaani but saving zangu zinafika laki 9 na nikiuza gheto zima (nimepanga) Total nitafikisha 1.5M na hii laptop nikiamua kuiuza nitakua nmeongezea kwenye mtaji Hope nikianza hiyo biashara itanilipa sivyo mkuu.
Sawa mkuu nitafanya hvyo ili nipate experience nione inaendajemkuu kuna possibility ya kupoteza hela yote km utakuwa haujipanga vizuri ....ushauri wangu hakikisha una back up plan kwa kuanza let's say nusu ya hyo hela uliyonayo huku nyingine unaiweka pembeni just incase.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukrani sana maana hii biashara ya nguo za mtumba za kike nataka niianze pia pesa sio shida shida ni mda tu maana ni muajiriwa. ukiachana na ilala boma Chimbo gani linakuwaga na nguo za kuchagua kwa bei hiyo?? vp karume muda huo vipi?Kama uko dar es salaam
Kesho wahi saa 10 asubuhi pale ilala boma upoint nguo za akina dada huwa zina range 1500-4000 , then unakujaa kuuza kitaa 4000-7000 kama unaweza pata kakibanda unaweza ziweka maana nguo za laki 3 ni nyingi sana unakaa asubuhi kibandani ikifika jioni unaanza kutembeza baadhi..
Mkuu cku siku moja najua kabsa cku moja utakuja kutoa hapa ushuhuda ata mimi narudi kumaliza semester moja ilibaki but kwa huku kanda ya ziwa lazima nirudi make nimefurahia lkzo ya Corona mkuu.Asante mkuu umenifungua sana ubarikiwe, narudi Chuo kumaliza degree yangu hii but nikirudi nataka nijichanganye mtaani but saving zangu zinafika laki 9 na nikiuza gheto zima (nimepanga) Total nitafikisha 1.5M na hii laptop nikiamua kuiuza nitakua nmeongezea kwenye mtaji Hope nikianza hiyo biashara itanilipa sivyo mkuu.
Asante mkuu mimi niko Mwanza nashindwa kuelewa hii fursa imetupitaje twende tukamalize then tutafutane mkuu.Mkuu cku siku moja najua kabsa cku moja utakuja kutoa hapa ushuhuda ata mimi narudi kumaliza semester moja ilibaki but kwa huku kanda ya ziwa lazima nirudi make nimefurahia lkzo ya Corona mkuu.
Njoo tuuze nyama mambo ni mazuri.Nina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali ?
Nyama ya?Njoo tuuze nyama mambo ni mazuri
Haina shida mkuu kikubwa tuombe uzimaAsante mkuu mimi niko mwanza nashindwa kuelewa hii fursa imetupitaje twende tukamalize then tutafutane mkuu
Asante kwa kunijulisha mkuu maana nilikua sijui bei yakeMzee baba hapo kwenye ndoo ya mafuta ni 60,000 kwa ndoo kubwa. Ndogo 32,00
NotedKama uko dar es salaam
Kesho wahi saa 10 asubuhi pale ilala boma upoint nguo za akina dada huwa zina range 1500-4000 , then unakujaa kuuza kitaa 4000-7000 kama unaweza pata kakibanda unaweza ziweka maana nguo za laki 3 ni nyingi sana unakaa asubuhi kibandani ikifika jioni unaanza kutembeza baadhi....
Ni Tsh. Ngapi iyo mashine mkuuNunua mashine ya bisi mkuu
Safi sana kuna jamaa baada ya kukosa ajira kwasababu ya corona maana alikuwa mwalimu alianzisha hiyo alisema inalipa kwa siku hakosi elfu 10 faida kwa kuku wanneNunua jiko kubwa tsh. Makadilio 30,000
Nunua mkaa gunia 1 makadilio tsh. 35,000
Nunua ndoo moja kubwa ya mafuta yakupikia sijui kiasi gani?? Let say tsh. 45,0000
Nunua viungo tangawizi na vitunguu swaumu tsh. 5,000.....
inalipa sana lakini sisi vijana tunachagua kazisafi sana kuna jamaa baada ya kukosa ajira kwasababu ya corona maana alikuwa mwalimu alianzisha hiyo alisema inalipa kwa siku hakosi elfu 10 faida kwa kuku wanne