GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
"Tumewaletea wana Yanga SC Mchezaji ambaye hatakama hatofunga Goli ila atahakikisha Mashabiki Wote Uwanjani wanaburudika kwa Maufundi yake ya Kuchezea Mpira" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe aliye Studioni sasa Spoti Extra ya Clouds FM.
Haji Manara (Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC) hakukosea pale aliposema kuwa Yanga SC nzima ( kote ) wenye Akili ni Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzee Manara.
Vile vile kumbe aliyekuwa Kocha wao Mkuu ambaye kawadai Pesa zake kwa muda mrefu hadi Kuwashtaki FIFA Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) hakukosea aliposema (ipo YouTube) kuwa Mashabiki wa Timu fulani (GENTAMYCINE nimeisahau kwa sasa) wako kama Sokwe, Mbwa na Nyani.
Haya mmeshaambiwa huko kuwa hata kama mtatolewa Mechi ya Kwanza au ya Pili Klabu Bingwa ( CAFCL ) msihoji wala Kukasirika kwani tayari Uongozi wa Yanga SC umewaletea Kombe lenu jipya liitwako SKUDU MAKUDUBELA CUP.
Kazi kweli kweli.....!!
Haji Manara (Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC) hakukosea pale aliposema kuwa Yanga SC nzima ( kote ) wenye Akili ni Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzee Manara.
Vile vile kumbe aliyekuwa Kocha wao Mkuu ambaye kawadai Pesa zake kwa muda mrefu hadi Kuwashtaki FIFA Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) hakukosea aliposema (ipo YouTube) kuwa Mashabiki wa Timu fulani (GENTAMYCINE nimeisahau kwa sasa) wako kama Sokwe, Mbwa na Nyani.
Haya mmeshaambiwa huko kuwa hata kama mtatolewa Mechi ya Kwanza au ya Pili Klabu Bingwa ( CAFCL ) msihoji wala Kukasirika kwani tayari Uongozi wa Yanga SC umewaletea Kombe lenu jipya liitwako SKUDU MAKUDUBELA CUP.
Kazi kweli kweli.....!!