hakuna ligi kama epl,we umeona pogba analeta ujuzi wake wa serie A au ibrahimovic na mbwembwe zake za ligue 1Juventus 2 Dinamo Zagreb 0
Barcelona 4 Monglebach 0
PSG 2 Ludogolets 2
Bayern Munchen 1 Atletico madrid 0
Fc Porto 5 Leicester city 0
Je Matokeo Haya ni Kielelezo tosha cha kujua ligi gani bora kwa sasa Ulaya
Kwani pogba alivyokuwa juve alikuwa anawika serie A pekee? Wakati hadi kwenye champions league aling'ara sana na juventus.hakuna ligi kama epl,we umeona pogba analeta ujuzi wake wa serie A au ibrahimovic na mbwembwe zake za ligue 1
Mfumo wa soka la kiingereza ni tofauti na Mifumo mingine kabisa pale ni nguvu kwanza halafu ufundi ndo unafuata na pia zama hizi ukiangalia ligi ya italy ni timu moja tu(Juventus) ligi imekosa msisimko sana zama hizi tofauti na kipind cha nyuma.Kwani pogba alivyokuwa juve alikuwa anawika serie A pekee? Wakati hadi kwenye champions league aling'ara sana na juventus.
kuweka ufundi nyuma ni jambo ambalo linaicost eplMfumo wa soka la kiingereza ni tofauti na Mifumo mingine kabisa pale ni nguvu kwanza halafu ufundi ndo unafuata na pia zama hizi ukiangalia ligi ya italy ni timu moja tu(Juventus) ligi imekosa msisimko sana zama hizi tofauti na kipind cha nyuma.
Pia pale juve hakua na kazi kubwa sana ya kukaba alikua na watu kama Pirlo,Marchisio,Vidal alikua huru kuchezea mpira tofauti na England lazima kila mchezaji ukimbie
Ila atarud kwenye fomu tu.
kutokung'ara kwa Pogba & Ibrahmovich si kipimo tosha cha kusema EPL ni ligi bora ..hakuna ligi kama epl,we umeona pogba analeta ujuzi wake wa serie A au ibrahimovic na mbwembwe zake za ligue 1
Epl timu zinatafuta Ushindi na sio ball possesionkuweka ufundi nyuma ni jambo ambalo linaicost epl
wapenzi wengi labda Tanzania.,Ni ligi yenye Wapenzi wengi ila kwa ubora kwa kusakata kabumbu sio kivile kutokana na Mfumo wa soka lao.
Kwa sababu zao binafsi za kibiashara na kulitangaza soko lao..Unajua kwa nini Azam tv ameweza kununua La liga ila kashindwa Epl?
sababu za kibiashara ikiwemo gharama sio?Kwa sababu zao binafsi za kibiashara na kulitangaza soko lao..
Kweli mkuu Epl ina gharama sana na hii inatokana na Demand yake kuwa kubwa sana.sababu za kibiashara ikiwemo gharama sio?
sasa je kuna weza kukawa na high demand ya mchanga zaidi ya dhahabu?Kweli mkuu Epl ina gharama sana na hii inatokana na Demand yake kuwa kubwa sana.
Mfano kama Dstv angekua anaonyesha ligi nyingine bila kuwa na Epl gharama zake zisingekua juu gharama zinatoka na Epl kuwa na demand kubwa kwa watu
nImekusoma kaka. upo vizuri. na ndomanake Messi hasubuthu kuja EPL kwa kipindi hiki.hakuna ligi kama epl,we umeona pogba analeta ujuzi wake wa serie A au ibrahimovic na mbwembwe zake za ligue 1
Ukicheza Epl ukienda ligi yoyote ile uteperform vizuri tu ila ukicheza Ligi nyingine halafu uje Epl kuna mawili uperform vizuri au ushindwe na matokeo yake utolewe kwa Mkopo.ref Mateja Kezman,Shevchenko,Robihno,Jo,Veron,yule mpiga faulo wa Argentina alipita Man utd pale akaenda Alt madridnImekusoma kaka. upo vizuri. na ndomanake Messi hasubuthu kuja EPL kwa kipindi hiki.
Ingia kwenye mitandao huko na tafuta timu bora zinapatikana wapi, unaweza ukajiongeza kutafuta wachezaji bora pia na jaribu kuangalia mara ya mwisho kwa EPL kutoa mchezaji bora ulaya na duniani.hakuna ligi kama epl,we umeona pogba analeta ujuzi wake wa serie A au ibrahimovic na mbwembwe zake za ligue 1
nimesema ligi bora,sijasema timu bora wala mchezaji boraIngia kwenye mitandao huko na tafuta timu bora zinapatikana wapi, unaweza ukajiongeza kutafuta wachezaji bora pia na jaribu kuangalia mara ya mwisho kwa EPL kutoa mchezaji bora ulaya na duniani.