MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,543
mimi kwa kuwa ni mzalendo kwa hiyo ili nishangilie vizuri naweka double chance yoyote ashinde maana ukimpa algeria watz wakishangilia wewe utajikuta unanunahahahahaaaa Du! kweli mpunga umekula
mimi kwa kuwa ni mzalendo kwa hiyo ili nishangilie vizuri naweka double chance yoyote ashinde maana ukimpa algeria watz wakishangilia wewe utajikuta unanunahahahahaaaa Du! kweli mpunga umekula
mkuu bet hapa ndio kuna odds zilizoshiba >>>https://1xear.top/en/?bf=5ab3a9aa75655_171250347Hiyo game mi naweka droo nile 60,000 kwa elfu 10.Tanzania haiwezi kushinda match hiyo napia mkeka mwingine nitaweka 10elfu kwa algeria kushinda.
Kimsingi Algeria wanataka kupanda viwango kupitia mgongo wa Tanzania na wanajua Tanzania hawawezi kushinda.
chunga ulimiakishinda nakunya mianzini (arusha) kwenye mataa
Hapo kwenye mataa watu si wataona mkyundu woteakishinda nakunya mianzini (arusha) kwenye mataa
Japo nimejikataa kwenye mkeka ila roho inadunda...naskia harufu ya drooChana tu huo mkeka
Mzee umepoteza!Hiyo game mi naweka droo nile 60,000 kwa elfu 10.Tanzania haiwezi kushinda match hiyo napia mkeka mwingine nitaweka 10elfu kwa algeria kushinda.
Kimsingi Algeria wanataka kupanda viwango kupitia mgongo wa Tanzania na wanajua Tanzania hawawezi kushinda.
UKIINGIA M-BET] SASAHIVI UTAKUTANA NA MECHI YA ALGERIA vs TANZANIA
sasa ipo hivi!
ALGERIA win 1.17
Droo 6.00TANZANIA win 11.50Tanzania akishinda napokea 1,000,00 laki moja tz!!
Nilimshukuru ndugu yetu in advance mchana kwaniaba ya mbet kwa kutuchangia, hii timu niliacha kuiangalia muda sana, maana sipendi kufungwa kila sikuNi rahisi Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Tanzania kumfunga au kutoa sare na Algeria