Kwa malezi haya ya watoto wa kizazi hiki, ni bomu linalokuja

Lwakalisa

Member
Feb 26, 2013
27
12
Nimeguswa na aina ya maadili waliyonayo watoto wa kizazi cha leo, ni kama wazazi wameacha majukumu yao katika malezi.

Wakati wa malezi yetu tulifundishwa hasa watoto wa kiume shughuli zote za nyumbani, ili kuwa tayari kukabiliana na changamoto za maisha. Pia kwa watoto wakiume walipewa mafunzo ambayo mojawapo ni kuwa, mwanamke hatakiwi kuinama bali kama atahitaji kuchukua kitu kilichopo chini atachutama. Leo mabinti wanainama bila staha wala kujali mavazi waliovaa.

Natoa rai tuwarudishe vijana wetu katika mstari wa faida ya maisha yao mbeleni.
 
Nimeguswa na aina ya maadili waliyonayo watoto wa kizazi cha leo, ni kama wazazi wameacha majukumu yao katika malezi.

Wakati wa malezi yetu tulifundishwa hasa watoto wa kiume shughuli zote za nyumbani, ili kuwa tayari kukabiliana na changamoto za maisha. Pia kwa watoto wakiume walipewa mafunzo ambayo mojawapo ni kuwa, mwanamke hatakiwi kuinama bali kama atahitaji kuchukua kitu kilichopo chini atachutama. Leo mabinti wanainama bila staha wala kujali mavazi waliovaa.

Natoa rai tuwarudishe vijana wetu katika mstari wa faida ya maisha yao mbeleni.
Eeeeeh???? Umesemaaaa? Mwanamke hatakiwi kuinama bali kuchutama? Eeh? Akiinama mambo yote hadharani siyooo? Sasa mambo yalee ya πŸ• doggy style pendwa atajiandaaje wakati ukifika? Inabidi aanze mazoezi mapema! πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eeeeeh???? Umesemaaaa? Mwanamke hatakiwi kuinama bali kuchutama? Eeh? Akiinama mambo yote hadharani siyooo? Sasa mambo yalee ya πŸ• doggy style pendwa atajiandaaje wakati ukifika? Inabidi aanze mazoezi mapema! πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aisee
 
Kiukwel hili swala la kuinama siku hz Wanawake wengi wanalo na hawajari,tena hata akiwa kavaa gauni fupi au sketi fupi
 
Maadili ya mtanzania ni yapi na yalianza lini? Ninachojua hii nchi haina maadili yake yenyewe ila inakwenda na upepo wa dunia.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mnavyoinama sweetheart tuone...

🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🀠
 
Back
Top Bottom