Ndio maana nimekwambia wewe ni kilaza wa kwenda.Ww Joannah kakutoa jasho mpaka umemuanzishia thread..mm nimekuuliza tu ulikua unafanya uhalifu gani wakati ulikua huwapendi wahalifu..acha uongo hujawahi kufanya uhalifu..ulifanya na kina nani? Kama unakaa magomeni basi ulikua unachukua story za kina rama dodo unatuletea hapa
ur a slow learnerNinakushukuru Baba Bwana wa mbingu na nchi kwa maana umenikombea kwa damu yako ya thamani. Nikisoma mara zote mtu anapohadithia historia mbaya nyuma na kukiri kwamba amebadilika. Napata furaha sana kwa maana Mungu ananguvu sana ya kutubadilisha.
Tumeshamkamata yupo CentralHuwa nashangaa jeshi la polisi na wizara ya mambo ya ndani mtu anajitokeza ana confess uhalifu aliofanya miaka ya nyuma ila huwa wanatizama tu hawachukui hatua.
Yani umeshindwa kweli kupata msg yangu kwenye Uzi wangu? Hiyo sheria yako umesoma kwa Mgongo Fimbo au Mugeta Education Center?Statue of limitations kwa makosa ya jinai hapa Tanzania hamna. Unaweza ukajitapa kuwa ohh nilikuwa sijui nani.Watu wakafuatilia ukawa in deep shit.Punguza kuandika ujinga
Mimi sio msomi mkuu. Ni mhitimu wa darasa la nne 2001.Another slow guy.
U slow people are so boring.
Watu wanasoma Chuo kinaelekeza kipo karibu na gereji bubu...Yani umeshindwa kweli kupata msg yangu kwenye Uzi wangu? Hiyo sheria yako umesoma kwa Mgongo Fimbo au Mugeta Education Center?