Kwa hili vyama vya upinzani hususani CHADEMA sijawaelewa

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
3,716
2,207
Napata shida sana kuelewa kwa nini inakuwa hivi.

Bajeti inasomwa inachangiwa wenye kuiunga mkono wanaiunga na wenye kuipinga wanaipinga
mimi sio mwanachama wa CHADEMA ila napenda sera zao nyingi na Mbunge au kiongozi (LEADER) mmoja mmoja ingawa Shibuda type siwapendi.

Tatizo langu ni pale mnapopinga kuipitisha ( GENERAL BUDGET) inayosomwa na waziri wa fedha na zile bajeti ndogondogo za wizara
zinazosomwa na Mawaziri wenye dhamana. Kwa nini mnazipinga then mnazichangia na kuomba muwekewe mafungu ya fedha kwa ajili ya maendeleo ya majimbo yetu?

Kwa nini msingesusa moja kwa moja kuchangia hoja zenyewe?
 
Napata shida sana kuelewa kwa nini inakuwa hivi.

Bajeti inasomwa inachangiwa wenye kuiunga mkono wanaiunga na wenye kuipinga wanaipinga
mimi sio mwanachama wa CHADEMA ila napenda sera zao nyingi na Mbunge au kiongozi (LEADER) mmoja mmoja ingawa Shibuda type siwapendi.

Tatizo langu ni pale mnapopinga kuipitisha ( GENERAL BUDGET) inayosomwa na waziri wa fedha na zile bajeti ndogondogo za wizara
zinazosomwa na Mawaziri wenye dhamana. Kwa nini mnazipinga then mnazichangia na kuomba muwekewe mafungu ya fedha kwa ajili ya maendeleo ya majimbo yetu?

Kwa nini msingesusa moja kwa moja kuchangia hoja zenyewe?

Nenda kawaulize kwanza kwanini wabunge wa ccm wanaunga mkono bajeti asilimia mia ya mia kabla ajaanza kuongea then dakika zote zilizosalia anaikosoa.

Jibu la swali lako utalipata 2015.
 
Ili uweze kujibiwa hoja yako km inavyotakiwa ninaomba ulete ushahidi au mfano wowote kuhusu hili.wapinzani nao huwa wanawakirisha bajeti zao na hoja.je nilini bajeti ya wapinzani ilisha wahi kuungwa mkono na ccm?.wapinzani huwa wanatoa hoja na ushauri mzuri sana. Je nilini hoja zao na ushauri wao ulionekana mzuri kwa ccm?.na walizifanyia kazi?.
 
Wanzipinga kwa sababu zina mapungufu lukuki kama unavyosikia michango yao makini wakihitaji maboresho ikiwa ni pamoja na hayo mafungu kwa majimbo yao yawekwe. Sasa hapo hauelewi nini?? Acheni hizo bana..
 
Wanachofanya, wanajua ccm hawatawasikia, ila wananchi watawasikia hoja zao zilivyonzito japo zimebezwa na watachambua
 
Nenda kawaulize kwanza kwanini wabunge wa ccm wanaunga mkono bajeti asilimia mia ya mia kabla ajaanza kuongea then dakika zote zilizosalia anaikosoa.

Jibu la swali lako utalipata 2015.

CCM wabunge wao ninawaelewa kwa unafki wanaoufanya
kwa kulalamika kuwa bajeti haiwaangalii walala hoi na serikali kuwasahau mwisho wanaiunga mkono hoja kiukweli hakuna mbunge wa CCM ninae mkubali
 
Ili uweze kujibiwa hoja yako km inavyotakiwa ninaomba ulete ushahidi au mfano wowote kuhusu hili.wapinzani nao huwa wanawakirisha bajeti zao na hoja.je nilini bajeti ya wapinzani ilisha wahi kuungwa mkono na ccm?.wapinzani huwa wanatoa hoja na ushauri mzuri sana. Je nilini hoja zao na ushauri wao ulionekana mzuri kwa ccm?.na walizifanyia kazi?.

CCM janga la Taifa huwa wanakubali ila kutekeleza ndio inakuwa tabu
 
Napata shida sana kuelewa kwa nini inakuwa hivi.

Bajeti inasomwa inachangiwa wenye kuiunga mkono wanaiunga na wenye kuipinga wanaipinga
mimi sio mwanachama wa CHADEMA ila napenda sera zao nyingi na Mbunge au kiongozi (LEADER) mmoja mmoja ingawa Shibuda type siwapendi.

Tatizo langu ni pale mnapopinga kuipitisha ( GENERAL BUDGET) inayosomwa na waziri wa fedha na zile bajeti ndogondogo za wizara
zinazosomwa na Mawaziri wenye dhamana. Kwa nini mnazipinga then mnazichangia na kuomba muwekewe mafungu ya fedha kwa ajili ya maendeleo ya majimbo yetu?

Kwa nini msingesusa moja kwa moja kuchangia hoja zenyewe?

Hii ni win win situasion..........kupinga ni kuonyesha mapungufu yaliyopo ukiwa mbunge wa Kitaifa ( Kwa falsafa ya Mbowe kuwa Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na wabunge 300 wa magamba).......kuomba mafungu ni kuwasimamia wananchi wako kule jimboni walau hata magamba wakiipitisha bajeti kwa wingi wao wasikose chao.
 
Back
Top Bottom