NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,741
BEKI wa Yanga, Abdallah Shaibu 'Ninja' ameweka wazi sababu iliyomfanya akae jukwaani miezi sita baada ya kutoka Dodoma Jiji kwa mkopo ni kuchelewa kwa barua yake ya uhamisho.
"Taratibu zangu za uhamisho kurejea Yanga hazikukamilika, hivyo ingekuwa ngumu kuanza kucheza," alisema Ninja ambaye hajaonekana kwenye mechi yoyote ya Yang a inayokabidhiwa ubingwa kesho Ijumaa, Jijini Mbeya dhidi ya Prisons.
Meneja wa Yanga, Walter Harrison alikiri kuwepo kwa changamoto hiyo ya Ninja ingawa hakufafanua kiundani; "Kulikuwepo na changamoto hiyo."
Source Mwanasport.
My take: huu ni uzembe wa hali ya juu mchezaji kuwekwa nje miezi sita (6) Na hii inadhihirisha wazi Yanga Kuna viongozi wenye Dharau laiti Kama Feisal salumu angeamua kufunguka tungekimbiana.
Viongozi wa Yanga sc mnapaswa kubadilika na ndiyo maana mchezaji Kama Morrison anawechezea sana na hamumfanyi chochote maana akili zenu alishazisoma.
"Taratibu zangu za uhamisho kurejea Yanga hazikukamilika, hivyo ingekuwa ngumu kuanza kucheza," alisema Ninja ambaye hajaonekana kwenye mechi yoyote ya Yang a inayokabidhiwa ubingwa kesho Ijumaa, Jijini Mbeya dhidi ya Prisons.
Meneja wa Yanga, Walter Harrison alikiri kuwepo kwa changamoto hiyo ya Ninja ingawa hakufafanua kiundani; "Kulikuwepo na changamoto hiyo."
Source Mwanasport.
My take: huu ni uzembe wa hali ya juu mchezaji kuwekwa nje miezi sita (6) Na hii inadhihirisha wazi Yanga Kuna viongozi wenye Dharau laiti Kama Feisal salumu angeamua kufunguka tungekimbiana.
Viongozi wa Yanga sc mnapaswa kubadilika na ndiyo maana mchezaji Kama Morrison anawechezea sana na hamumfanyi chochote maana akili zenu alishazisoma.