Kwa hili suala la Abdala Shaibu (Ninja) linanifanya niamini kuwa Yanga sc Kuna viongozi wazembe na wanye dharau

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,741
BEKI wa Yanga, Abdallah Shaibu 'Ninja' ameweka wazi sababu iliyomfanya akae jukwaani miezi sita baada ya kutoka Dodoma Jiji kwa mkopo ni kuchelewa kwa barua yake ya uhamisho.

"Taratibu zangu za uhamisho kurejea Yanga hazikukamilika, hivyo ingekuwa ngumu kuanza kucheza," alisema Ninja ambaye hajaonekana kwenye mechi yoyote ya Yang a inayokabidhiwa ubingwa kesho Ijumaa, Jijini Mbeya dhidi ya Prisons.

Meneja wa Yanga, Walter Harrison alikiri kuwepo kwa changamoto hiyo ya Ninja ingawa hakufafanua kiundani; "Kulikuwepo na changamoto hiyo."

Source Mwanasport.

My take: huu ni uzembe wa hali ya juu mchezaji kuwekwa nje miezi sita (6) Na hii inadhihirisha wazi Yanga Kuna viongozi wenye Dharau laiti Kama Feisal salumu angeamua kufunguka tungekimbiana.

Viongozi wa Yanga sc mnapaswa kubadilika na ndiyo maana mchezaji Kama Morrison anawechezea sana na hamumfanyi chochote maana akili zenu alishazisoma.


Screenshot_20230609-112326.jpg
 
Inaonekana kuna viongozi pale Yanga wanamkubali sana huyu mchezaji. Au ndiyo yale mambo ya 10%!!

Maana hata ufanisi tu uwanjani wa huyu mchezaji kwa timu kama Yanga, sijawahi kuuona. Akicheza pale nyuma, muda wowote anasababidha penati, kutokana na matumizi yake makubwa ya nguvu kuliko akili!

Kwa nini wasimalizane naye, ili akatafute changamoto mpya mahali pengine? Uwezo wake hauna kabisa tofauti na ule wa Abdulaziz Makame "Buyi". Ni average players.
 
BEKI wa Yanga, Abdallah Shaibu 'Ninja' ameweka wazi sababu iliyomfanya akae jukwaani miezi sita baada ya kutoka Dodoma Jiji kwa mkopo ni kuchelewa kwa barua yake ya uhamisho.

"Taratibu zangu za uhamisho kurejea Yanga hazikukamilika, hivyo ingekuwa ngumu kuanza kucheza," alisema Ninja ambaye hajaonekana kwenye mechi yoyote ya Yang a inayokabidhiwa ubingwa kesho Ijumaa, Jijini Mbeya dhidi ya Prisons.

Meneja wa Yanga, Walter Harrison alikiri kuwepo kwa changamoto hiyo ya Ninja ingawa hakufafanua kiundani; "Kulikuwepo na changamoto hiyo."

Source Mwanasport.

My take: huu ni uzembe wa hali ya juu mchezaji kuwekwa nje miezi sita (6) Na hii inadhihirisha wazi Yanga Kuna viongozi wenye Dharau laiti Kama Feisal salumu angeamua kufunguka tungekimbiana.

Viongozi wa Yanga sc mnapaswa kubadilika na ndiyo maana mchezaji Kama Morrison anawechezea sana na hamumfanyi chochote maana akili zenu alishazisoma.


View attachment 2650944
Km anahitaj kuchangiwa pesa ili aende cas asiwe na presha sisi tupo paleee tunasubir namb
 
Halafu kuna viongozi pale Yanga wanamkubali sana huyu mchezaji. Maana hata ufanisi wake tu uwanjani kwa timu kama Yabga, sijawahi kuuona.

Kwa nini wasimalizane naye, ili akatafute changamoto mpya mahali pengine? Uwezo wake hauna kabisa tofauti na ule wa Abdulaziz Makame "Buyi". Ni average players.
Kweli kabisa mkuu kuliko kuanza kumbabaisha ni uonevu tu.
 
Inaonekana kuna viongozi pale Yanga wanamkubali sana huyu mchezaji. Au ndiyo yale mambo ya 10%!!

Maana hata ufanisi tu uwanjani wa huyu mchezaji kwa timu kama Yanga, sijawahi kuuona. Akicheza pale nyuma, muda wowote anasababidha penati, kutokana na matumizi yake makubwa ya nguvu kuliko akili!

Kwa nini wasimalizane naye, ili akatafute changamoto mpya mahali pengine? Uwezo wake hauna kabisa tofauti na ule wa Abdulaziz Makame "Buyi". Ni average players.
Upo sahihi na vile vile yanga ina wachezaji 28 badala ya 30 ukichanganya na huyu , doumbia na bigirimana kuna gap ya wachezaji 5 muhimu ambao Kama yanga angesajili vifaa vya maana angechukua Hata CL au kufika final .
 
Hakuonekana kuwa mhimu, kikubwa ashukuru analipwa mshahara wake na maisha yanaendelea....
 
Nadhani ni kwa sababu wanaona hana umuhimu,kwa sababu wapo kina bacca na beka,wangeumia hao wangejua hawajui..DHARAU SANA HAO WATU .
 
Back
Top Bottom