Kwa hili nbs hapana sensa ya mwaka huu

kikaragosi

Senior Member
Nov 14, 2010
112
10
Mimi nimebahatika kufanya kazi ya sensa hapa jijini Dar japo nililoshuhudia Makarani wengi wamepachikwa na wametumia majina c yao cz wamefoji Elimu hivyo wengi hawawezi kazi na wengine wamekimbia sasa cjui uzembe wa NANI. Jambo baya zaidi jana liambiwa leo kuna watu wanaenda kufanya interview ya kuingiza DATA baada ya SENSA nikauliza walitangaza kazi popote jibu lililopata ni kujuana,kwa bahati zuri katika kuuliza kwangu na marafiki zangu wawili wamepata hiyo dili na wao wamepata coz ya kujuana maana ina posho nyingi,Je kwa hali hii ya mambo ya kujuana na kupeana bila kutangaza hizo nafasi ili mpate wenye sifa zuri haswa waliosomea mambo ya computer ni kazi bure lakini ingekuwa na posho ndogo hapo mngeitaji watu wengne mbona ya sensa mlitangaza maana watoto wao na ndugu zao wasingeiweza kusiliba madodoso haswa maswali marefu shingo zingeuma acha kutembea juani lakini nyepesi wanapeana wenyewe tena kwa USIRI mkubwa.MLIOPO MADARAKANI ndo mnaharibu nchi mpka katika mambo muhimu kama haya yenye manufaa ya nchi.
 
This is our country tanzania my fellow tanzanian pole sana na hongera kwa kupata mana mimi nina degree sikupata nikajisemea mwenyewe pengine sina qualification kumbe akunyimae kunde kakupunguzia mashuz.
 
Kwenye Red umejichanganya mwEnyewe hadi natia mashaka ukweli na mambo unayotaka kutuaminisha! Umeanza sema waliopata kazi ya sensa kwa awamu wa kwanza wengi wao hawakuwa na ujuzi kutokana na kofiji elimu. Lakini baadae umeandika ya kwamba awamu ya pili wamepeana kwanza kwa kujuana na hivyo kazi ya data entry haikutangazwa kama ilivyotangazwa ya kwanza ili kuwa pata wenye sifa. Ala kumbe awamu ya kwanza walichangu watoto wa makabwela wenye sifa? ( Umedai mwenyewe watoto wa wakubwa walingeweza kuzunguka juani na madodoso marefu ati shingo zingewauma).
Sasa tueleweje, au umetoswa mkuu? Mshukuru Mungu hata kwa hilo dili la awamu ya kwanza. Nakushauri uanze kuandaa mazingira ya kujitegemea mwenyewe ikiwa ni pamoja na kutengeneza vyanzo vyako vya mapato wewe kama wewe. Issue ya sensa si endelevu hata iungepata awamu zote mbili.
Mimi nimebahatika kufanya kazi ya sensa hapa jijini Dar japo nililoshuhudia Makarani wengi wamepachikwa na wametumia majina c yao cz wamefoji Elimu hivyo wengi hawawezi kazi na wengine wamekimbia sasa cjui uzembe wa NANI. Jambo baya zaidi jana liambiwa leo kuna watu wanaenda kufanya interview ya kuingiza DATA baada ya SENSA nikauliza walitangaza kazi popote jibu lililopata ni kujuana,kwa bahati zuri katika kuuliza kwangu na marafiki zangu wawili wamepata hiyo dili na wao wamepata coz ya kujuana maana ina posho nyingi,Je kwa hali hii ya mambo ya kujuana na kupeana bila kutangaza hizo nafasi ili mpate wenye sifa zuri haswa waliosomea mambo ya computer ni kazi bure lakini ingekuwa na posho ndogo hapo mngeitaji watu wengne mbona ya sensa mlitangaza maana watoto wao na ndugu zao wasingeiweza kusiliba madodoso haswa maswali marefu shingo zingeuma acha kutembea juani lakini nyepesi wanapeana wenyewe tena kwa USIRI mkubwa.MLIOPO MADARAKANI ndo mnaharibu nchi mpka katika mambo muhimu kama haya yenye manufaa ya nchi.
 
Kwenye Red umejichanganya mwEnyewe hadi natia mashaka ukweli na mambo unayotaka kutuaminisha! Umeanza sema waliopata kazi ya sensa kwa awamu wa kwanza wengi wao hawakuwa na ujuzi kutokana na kofiji elimu. Lakini baadae umeandika ya kwamba awamu ya pili wamepeana kwanza kwa kujuana na hivyo kazi ya data entry haikutangazwa kama ilivyotangazwa ya kwanza ili kuwa pata wenye sifa. Ala kumbe awamu ya kwanza walichangu watoto wa makabwela wenye sifa? ( Umedai mwenyewe watoto wa wakubwa walingeweza kuzunguka juani na madodoso marefu ati shingo zingewauma).
Sasa tueleweje, au umetoswa mkuu? Mshukuru Mungu hata kwa hilo dili la awamu ya kwanza. Nakushauri uanze kuandaa mazingira ya kujitegemea mwenyewe ikiwa ni pamoja na kutengeneza vyanzo vyako vya mapato wewe kama wewe. Issue ya sensa si endelevu hata iungepata awamu zote mbili.

Ni kweli issue ya sensa sio endelevu ila huenda angepata moja au zote angepata mtaji wa kuanzishia vyanzo vyake vya vipato.
 
Wala ya pili ningeomba vp wakati hawajatangaza wamepeana wenyewe,Ni kweli mambo ya kupita lakini wawe na utu c undugu na kuchagua wasio na sifa
 
Chezea dodoso refu wewe. Sensa ni kitengo cha kuvuta faranga cha watu fulani.
 
ni kweli kabisa unachokisema sio wewe tuu hata mimi nilifuatilia hiyo kitu wakatuambia kwamba wanachukuliwa walewaliokuwa wamafanya sensa so kamal mm sikubahatika na pia ninaujuzi wa kompyutA ndio hivyo hii ndio nchi yetu.
ila kaka mpaka na wewe ukose ndio useme yote hayo? je na wewe ungepata ungesema?
 
this is not fair mi nlifuatilia wakanambia watatangaza baada ya pilika za sensa kuisha, cha kushangaza nafasi zote 300 wamepeana kinyemela du hii ni balaa:A S cry:
 
Mi mzalendo hata kama ningepata magumashi ningerudi niseme ukweli japo nimepata kama mnakumbuka kuna jamaa wa moro alipewa nafasi hawape ndugu zake lakini alikuja kusema jinsi viongozi wanavyofanya,kwenye hyo Intervw wanasema walikuwa wengi sasa cjui walijuaje bora ningekuwa mkenya kuliko nchi hii ya kindugu
 
Back
Top Bottom