Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Kama umefuatilia kwa makini kufuatilia kikao cha leo cha Bunge utangundua kuwa ama CCM wamejiua (Wameshakufa kisiasa) au hawakujiandaa vya kutosha kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi...
Werema na Lukuvi wana wakati mgumu kuukubali ukweli huu..
Mkuu wa kaya naye ana wakati mgumu kama mwanamke mwenye mimba ya miezi 8 na siku 29...
Werema na Lukuvi wana wakati mgumu kuukubali ukweli huu..
Mkuu wa kaya naye ana wakati mgumu kama mwanamke mwenye mimba ya miezi 8 na siku 29...