white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
hatimaye wana igunga waanza kuona cha mtema kuni kutokana na daraja la mbutu,ambalo wakati wa kampeni wa uchaguzi mdogo wa igunga waliahidiwa kuwa lingejengwa ndani ya siku 90!hadi sasa hakuna kitu wa2 wanashindwa kuvuka,eti wanataka kuandamana!ni ujinga wao acha wajute si waliwapa kura wenyewe,na bado hadi hapo wananchi watakapoacha ujinga,c walidanganywa na mahindi.