specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,141
- 617
yangu nikwa edo pia!
Magufuli ndiye aliyesababisha upotevu wa hela nyingi kupindukia.1.3 trillion. Halafu mnasema awe rais.Apeleke kuleeeee.
richmond hatakama ni ufisadi wananchi tulipata umeme swali ufisadi wa richmond ni mkubwa kiasi gani kushinda escrow na mingine na kwa upana wa ukubwa wake kwanini hatuwapeleki wahusika mahakamani.mabadiliko hayaepukikiNdio ujue kwamba Richmond iliibuliwa kumchafua Edward Lowassa tu,hadi swala la Richmond linafika bungeni serikali ilikuwa haijalipa hata 100,iweje sisiemu wanashikia bango tu? Swala la Richmond ilikuwa mitambo lakini Hiyo mitambo ndio zinatumika mpaka leo,kura yangu ni kwa Edward Lowassa tu.
hivi UKAWA/CHADEMA hawakuwa na candidate for presidence mpaka ED alipokatwa?
Ni kwako na wengine unaowajua, Wengine watampa kura usijidanganye wewe! Subiri October utapata jibu sahihi siyo hilo unaloliwaza lina nafasi ndogo.
Naandika kwa masikitiko makubwa sana kuwa ccm imekosa kura yangu na watu wenye fikra kama zangu, ccm ndiyo chama dola kinachoendesha serekali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania,udhaifu wa ccm upo hapa- serekali ina chombo cha kusimamia sheria na haki yaani mahakama leo ufisadi mkubwa wa kutikisa nchi yaani
EPA-132 BILL
RICHMOND-??,
TWIGA WALIOUZWA-???
VIBALI VYA SUKARI KUTOKA NJE-???
ESCROW- BILL 348
MEREMETA -205 BIL
MABEBEWA FEKI-258 BIL
NYUMBA ZA SEREKALI ZILIZOUZWA KIFISADI-???
BOAT MBOVU-8 BILL
WACHINA WASAMAKI- 1.3 TRILION
Huo ni baadhi tu ya ufisadi tunaousikia mara nyingi masikioni kwetu, udhaifu wenu unaanzia hapo juu, tunazo mahakama tulitegemea leo mafisadi wawe segerea na wanasiasa wawe majukwaani wanazungumzia sera bora za kuboresha maisha ya wanachi, leo serekali INALALAMIKA MA JUKWAAANI FULANI NI FISADI nani wa kumfunga fisadi kama siyo serekali???? huo ni udhaifu mkubwa kiasi cha kuniaminisha hakuna mnaloliweza, wananchi tunalalamika na serekali inalalamika, labda hamna ushahidi kinaweza kuwa kitetezi, Dr slaa amesema ana ushahidi mbele ya vyombo vya habari mbona hamja chukua hatua?
niweke wazi kuwa ccm kama mmeshindwa kupeleka hao mafisadi waliohusika na ubathirifu wa fedha zote hapo juu mnataka wananchi tuwape kura mkafanye nini ikulu?
Dr slaa, humphrey polepole zungumzieni hasara ya trilion 1.3 wanazodai wachina kama fidia huu ni mzigo kwa wa tanzania zungumzieni mabehewa feki, zungumzieni nyumba za serekali zilizouzwa kifisadi
wewe mchangiaji nisaidie majibu ya wapo wapi hao waliyotuletea hizo hassara hapo juu na baadhi ya figure nimezimekosekana waweza jazia pia
#Namalizia kwa kusema ccm ni dhaifu na udhaifu wenu ni huo hapo sitowapa kura yangu#
alikamata wachina wakiwa wanavua samaki bahari yahindi wakiwa na meli na mizigo yao wakakamatwa wakawekwa ndani kesi inavyoendelea wabongo wakaanza kukata ile meli scraper ikazama mwisho wasiku wachina wameshinda kesi wanadai meli yao na gharama nyingine.magufuli alikuwa ni waziri wa uvuvi kipindi hichoSamahani mkuu,hivi ishu ya 'samaki wa magufuli' ilikuwaje hadi tunadaiwa na wachina hizo 1.3 trilion!
Samahani mkuu,hivi ishu ya 'samaki wa magufuli' ilikuwaje hadi tunadaiwa na wachina hizo 1.3 trilion!