Katika pitapita yangu hapa jijini Mwanza nimejaribu kufanya utafiti mdogo tu juu ya nani ataibuka kidedea kwenye uchaguzi wa wabunge,JIMBO LA NYAMAGANA.Kwa uhakika kabisa,pasipo ushabiki MASHA atashindwa.Kwa kuwa MASHA ameanza kuhisi hilo,amesema atatumia mbinu zote kumshinda mgombea wa CHADEMA(mbinu zote zinaweza zikawa chafu na safi).
Ni vyema CHADEMA MKAE MACHO,KWA UHALALI JIMBO LA NYAMAGANA NI LENU.
Ni vyema CHADEMA MKAE MACHO,KWA UHALALI JIMBO LA NYAMAGANA NI LENU.