Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,167
- 201,236
Juzi kuna mchungaji kitaa kapakwa Vaseline na waumini tumejua na mkewe Kajua Jamaa ni moroviani
Nb
Mke wa mtu sumu
Utakuta wadau humu wote makwao wana maziwa
Juzi kuna mchungaji kitaa kapakwa Vaseline na waumini tumejua na mkewe Kajua Jamaa ni moroviani
Nb
Mke wa mtu sumu
Watakuja wamuambie, AANZE KUFANYA MAZOEZ YA KUBANA MAKALIOKichwa cha chini bana. Unavyojitetea ionekane mdada ndo anakupenda zaidi. Huyo ni mke wa mtu subiri risasi ya ubongo.
IPO Siku yaoUtakuta wadau humu wote makwao wana maziwa
Aiseee hili jina nina aleji nalo balaaaYaani sisi wanaume! Visa vitupu!!
View attachment 1623495
Mwingine sijui kapewa nini huku na Agnes. Natamani sana kumjua Agnes!!
Hahahah et wajuba
Show inapigiwa mkoani huko yaan ngoma inatoka Dar, inaelekea Moro Wiki nzima.
Laki twice per month,huto sio tupesa ni mapesa kabisa,unaweza mlipa mtumishi wa serikali ya ccmNina tupesa twangu bro twakuhonga laki twice a month
Mkuu unacheka msiba wa mwenzio? Tema mate chini
PointNaunga mkono hoja tuwapende wake/wachumba/mademu zetu kwa kila namna.
Tuchukulie we ndo Salha na mimi Mtimawachi nimekusaidia ungefanya mmaamuzi gani kinyume na haya
Unadhani ni rahisi kihivyo? kuna wanaume wanajua kupenda wewe hata kujitoa huweziNikishaolewa tunaaishia hapo hapo. Msaada ulitoa kwa matakwa yako. Ndoa iheshimiwe na kila mmoja.
Golden rule mojawapo.ilifikia wakat anakuambia G sihoni faida yoyote yakua nahela namna hii lkn nisijihisi mwanamke.
Huwez amin, Mimi uchumi wangu ni wa kibongo tu lkn ninautumia kumfanya ajione mwanamke , namchukua nampeleka kule na kule anafurahi sanaaa , surprises kibaoo namfanyia, namsifiaa , namjali .
Mwanamke mpaka anawasimulia mashosti zake , nao wamenikubali sana ( kumbe wanawake wanasimuliana manyanyaso wanayopitia)
Basi siku hizi ni ... Shem (XXX) anakupenda sanaa, haishi kukutaja na kukusifia, usije kumuacha !!!.
Moyo wa mwanamke unapobadilika Unabadilika kwelikweli .
Kuna mdau humu alisema " Ndoa nyingi zipo kimwili ila kiroho zilishajifia"...
Nahuyu mwanamke siku hizi ananiambia " Sina hisia zozote na yule , ndio maana sitaki kushiriki naye , wacha ashiriki na wanawake zake huko".
Kaka naona nawe unawafahamu vizuri wanawake,kuna wanaume wenzetu wamekaa kuwalaumu tu wanawake na kuwatoa kasoro mara kwa mara.Jamaaa, Ukiwa nahaya mawazo, utatombewa sana mkeo, alafu mwisho wasiku hautakua na uwezo wa kumfanya kitu mtombajii wa mkeo !!!.
Badilika kama una Mke hakikisha HAUMPI SABABU YA KUTAFUTA FURAHA NJE.!!!
Haiwezekan yeye kila siku anasimuliwa na wenzake wanavyopewa maisha mazur ndoan, lkn yeye ni mateso alafu atuliee.
Wanawake ?? Mioyo yao hubadilika, nikm walivyo watoto wadogo.
Hizo rules zimeletwa na mwanafalsafa/mwanasayansi gani? au ndio kanuni za hawa wanakulaanika wanaojiita mabaharia!!?Golden rule mojawapo.
Usianzishe uhusiano wala kusex na work mate.
Rookie mistake.
Kaka mkubwa vipi tena mbona umekuja kitemi namna hii!?Bullshit
Vp ume oa?ilifikia wakat anakuambia G sihoni faida yoyote yakua nahela namna hii lkn nisijihisi mwanamke.
Huwez amin, Mimi uchumi wangu ni wa kibongo tu lkn ninautumia kumfanya ajione mwanamke , namchukua nampeleka kule na kule anafurahi sanaaa , surprises kibaoo namfanyia, namsifiaa , namjali .
Mwanamke mpaka anawasimulia mashosti zake , nao wamenikubali sana ( kumbe wanawake wanasimuliana manyanyaso wanayopitia)
Basi siku hizi ni ... Shem (XXX) anakupenda sanaa, haishi kukutaja na kukusifia, usije kumuacha !!!.
Moyo wa mwanamke unapobadilika Unabadilika kwelikweli .
Kuna mdau humu alisema " Ndoa nyingi zipo kimwili ila kiroho zilishajifia"...
Nahuyu mwanamke siku hizi ananiambia " Sina hisia zozote na yule , ndio maana sitaki kushiriki naye , wacha ashiriki na wanawake zake huko".
Mkuu haya mambo hayahitaji maguvu,akili busara na upendo wa dhati.Angalia mumewe ni askari ffu lakini mtoto katulia kwanguWazinzi naona mna kikao....🏃🤣
Bro anza kujifunza karate
#freeadvice
Kwanza walikuwa mahawara,baada ya mimi kumtibu ndio akaoaKumbe alikuwa mke wa mtu
ataongezea herufi linasomeka "magnesium"Hili ni senge sasa sijui akiachwa takata shingo au la.