Kwa herini JF, mod ondoa jina langu kwa huzuni kubwa!

Mara nyingi zinakuwa zinajieleza mkuu, mfano:

trashed.jpg

merged.jpg
Hapa ulikuwa unataka kusema nini mkuu, mimi binafsi sijakuelewa bado!

Mara nyingi ninapotaka kujuwa kama thread niliyo post imesomwa au kujibiwa, huwa naingia kwenye profile yangu na kuchagua option (Find all started threads) yenye kuonyesha my threads, uko ninaweza kuona post zangu zote nilizo tuma hapa jamvini... Sasa post inapohamishwa inakuwa kama mimi nimejibu post fulani ambayo siifahamu, ndio maana wengi wanalalamika kuto ziona post zao... Cha muhimu hapa ni kuwatumia PM tu, kuwafahamisha kuwa post zao zimeunganishwa na post zinazo fanana na yake... basi.
 
Watu kwa malalamiko siwawezi! Jamani, Mwikimbi na uzoefu wako hapa JF umeshindwa kutumia SEARCH button kuona thread unayoilalamikia ipo wapi mkuu? Watu mbona mnatawaliwa na hasira these days? Uchaguzi huu umewachanganya sana wakuu? Mbona mambo bado?

Mimi nime-search kwa keyword "AHADI" na nikachagua zije topic titles tu nikapata hiki:

Ahadi za Kikwete zafikia Trillion tisini (90 trillion tsh)

Sasa unataka kusema mods wamekuchakachua mkuu? Be fair!

Wengine mnaweza kufuatilia posts za mlalamikaji (kwa ushahidi) via: Search Results - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Mtu ukikuta huoni posts zako tufahamishe tukusaidie wakuu, halafu thread kama hii imeanzishwa jukwaa la siasa, ikihamishwa najua pia ni UONEVU MKUBWA ndani ya JF!



Mimi nshakuambia siku nyingi stories za uwongo na uzushi za Uchaguzi zitawaua watanzania. Mmoja mmoja atakufa hivi hivi...
 
Mkuu kama Chenge naye angekuwa na hasira kama zako basi wala asingegombea tena ubunge ili arudi bungeni kukomboa taifa letu kutoka kwenye umasikini baada ya jina lake kuingizwa kwenye list of shame. Angezira na kwenda zake kwenye visiwa vya jersey kutanua.
:israel:
 
Hapa ulikuwa unataka kusema nini mkuu, mimi binafsi sijakuelewa bado!

Mara nyingi ninapotaka kujuwa kama thread niliyo post imesomwa au kujibiwa, huwa naingia kwenye profile yangu na kuchagua option (Find all started threads) yenye kuonyesha my threads, uko ninaweza kuona post zangu zote nilizo tuma hapa jamvini... Sasa post inapohamishwa inakuwa kama mimi nimejibu post fulani ambayo siifahamu, ndio maana wengi wanalalamika kuto ziona post zao... Cha muhimu hapa ni kuwatumia PM tu, kuwafahamisha kuwa post zao zimeunganishwa na post zinazo fanana na yake... basi.

Mh jamani....lakini tukisema watume PM kwa kila mmoja wetu ambaye anakosea ku-post katika forum husika kweli itawezekana? au kwa kila anaye-post topic ambayo inafanana na existing topic kweli wataweza, mbona kama tunawabebesha mzigo mkubwa mno...?
Kwanini tunataka tufanyiwe sisi tu yale ambayo tunajisikia sisi tutendewe without returning the favor...?
Cha msingi ni sisi pia kuwa makini pale tunapotuma post zetu, hakikisha ipo kwenye jukwaa husika na pia kama unaona kuna topic nyingine inayofanana na hiyo basi haina haja ya kuanzisha thread nyingine talking about the same issue....
That way tutakuwa tumerahisisha kazi for all of us...
 
Hapa nikiti cha daladala ukishuka morroco wengine wanapandia victoria ikifika mwenge imejaa!chapa ilale!!
 
Mh jamani....lakini tukisema watume PM kwa kila mmoja wetu ambaye anakosea ku-post katika forum husika kweli itawezekana? au kwa kila anaye-post topic ambayo inafanana na existing topic kweli wataweza, mbona kama tunawabebesha mzigo mkubwa mno...?
Kwanini tunataka tufanyiwe sisi tu yale ambayo tunajisikia sisi tutendewe without returning the favor...?
Cha msingi ni sisi pia kuwa makini pale tunapotuma post zetu, hakikisha ipo kwenye jukwaa husika na pia kama unaona kuna topic nyingine inayofanana na hiyo basi haina haja ya kuanzisha thread nyingine talking about the same issue....
That way tutakuwa tumerahisisha kazi for all of us...

Smiles: Unajaribu kuturudisha hatua moja nyuma ki technolojia.
Mi nafaham haishindikani kuwa na system ya automatic notification to individuals ambao thread zao zimefanyiwa changes na mod.
Kwenye system haishindikani mod kuwa na templates ya kila sababu ya eidha kuifuta ama kufanyiwa changes kwa threads!Mfano templates za kufuta kutokana na matumizi ya lugha,ama umeandika topic inayofanana na ingine!Yote yanawezekana kuboresha jukwaa!Pia kuhusu swala la kufanana kwa topic Mod wenyewe ni shahidi kuwa threads zingine zinakuwa kwenye forum zisizozake na ni vigumu sana kuanza ku serch all active topics na kutambua kama thread unayotarajia kuandika inafanana na nyingine jamvini!Mi nafikiri kuna kila sababu ya mods kuanza kuangalia utaratibu wa kupunguza kero jamvini!We are in the world of technology so na sisi jamvini tusije onekana tupo sawa na NEC!
Regards!
 
Labda mods wameshashikishwa na mshiko wa kifisadi, nami zangu huwa hazidumu.
 
Invisible atlest ungejibu hilo la post yake kutolewa gazetini.

Mkuu naiona JF kama source mojawapo ya habari hapa nchini. Kuna habari nyingi tu za hapa JF (post na comments) zinakuwa modified na kutoka kwenye magazeti ya siku inayofuata. Na siku zote huwa tunapenda kuona habari za humu JF zinatoka ili ziwafikie wengi huko nje. Wengi wetu tunachangia na kupost and then tunapotea. Hatujali kujua hiyo habari imekwenda kutumika wapi tena. Inaonekana hili la kutoka gazetini ndio labda limemkwaza sana mtu mzima lakini mimi naona poa tu ili mradi ionyeshwe chanzo ni JF.
 
Kutoa article kwenye gazeti sidhani kama mod anahusika moja kwa moja yeyote humu anaweza kuibandika tu.
 
Adui mpende, utakimbia wangapi nchi ya wajeuri hii. Afterall Mod ashasema kwamba search mabandiko yako yapo usiende bana Tanzania haihitaji watu wenye roho za nyanya kama wewe vinginevyo hapa TIA tungeshindwa kuzilinda kura za sugu!!
 
Teh teh teh teh,

Bado MODS mmekosea kuileta kwenye hili jukwaa, hii ingebidi iletwe kenye jukwaa letu la UTANI NA VICHEKESHO,, maana nimecheka sana,


Yaani wewe na akili zako theluthi za tekelinalokujia unashindwa hata ku'SEACH? halafu au unataka iwe inaonekana first page wakati haijachangiwa na imesharushwa page ya 7 huko nyuma?

tusipotezeane muda (watumiaji kusoma useless post) na mods (kufanya changes kila mara nao wanachoka).

Baba/Mama nenda tu safari njema, ukiamua kurudi karibu ila hakikisha unapiga hodi kama vile ulivyoaga ili tukukaribishe tena kama tunavyokuaga sasa,

Wasalimie uendako
 
Back
Top Bottom